Nipo

Nipo

[emoji23] [emoji23] [emoji23]nimerejea dada shikamooo nimekumiss
Mimi je? Nimesoma somo lako la malango ni zuri sana. Leo kulikuwa na ibada ya kumaliza kipindi cha masika. Tumekula wee mimi sikutoa kitu lugha changanya.
 
Kaka hiyo miti mbona kama napajua hapo ni Chato eneo inapofanyikiaga mikutano ya kufunga mwaka ya waganga na wachawi wote.![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kilingeni [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Tunashukuru kwa kuwa uko fit na salama slmini. Ila next time tunaomba uvue mawani hayo
 
Back
Top Bottom