Nipokeeni binti mrembo

Nipokeeni binti mrembo

Hivi hawa ambao huja humu kwa kujitambulisha huwa ni wapya kweli au ni wenyeji waliobadili ID ?
 
Huo urembo unao jitangaza hapa bila kuweka picha unatutakia nini? .... na wasi wasi kuna mtu atapigwa na kitu kizito ....
 
Utakuta huyu anaejiita "binti mrembo" ni kijeba chenye ndevu kabisa. Sasa jichanganye!
Mmeshaanza kauzibe madomo zege nyie!!! vidume wa ukweli hawazibiwi mnajisumbua tu !! wataingia tu ivoivo mazima mazima, hata kma wakikuta kuna midevu wanarudisha majeshi faster!!..shida iko wapi?

kwani nyie waomabaji gani mnaogopa kupotea!.......na kuanza moja???...nyie ndo mnaliaga nyie! na kujiua...kidume halisis ni Lazima upoteze sana na upate mauzoefu ya kila aina sasa bila hii kidume kitapataje uzoefu??
 
o naoga apa nivaee nitoke💃💃💃
na pia niko single atii
umri wooote huu bado uko single??? njoo nikuogeshe dawa!! midume imejaa kila kona yaani hata jiwe hakutaki japao kafa??
 
Back
Top Bottom