Nipokeeni Jamii Forums!

Nipokeeni Jamii Forums!

zambros

New Member
Joined
Apr 24, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Wakuu, awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima , kuiona siku hii muhimu; tunapoadhimisha miaka 50 ya Muungano wa nchi yetu - TANZANIA. Mimi ni mgeni katika jukwaa hili la Jamii Forums (nimejiunga tarehe 24/04/2014). Hivyo nawaomba sana wakuu mnipokee kama mdogo wenu katika Jukwaa hili. Asanteni sana!:smile::yield::yield:
 
Wakuu, awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima , kuiona siku hii muhimu; tunapoadhimisha miaka 50 ya Muungano wa nchi yetu - TANZANIA. Mimi ni mgeni katika jukwaa hili la Jamii Forums (nimejiunga tarehe 24/04/2014). Hivyo nawaomba sana wakuu mnipokee kama mdogo wenu katika Jukwaa hili. Asanteni sana!:smile::yield::yield:
karibu jamvini..
 
Karibu dogo, embu tupe msimamo wako kuhusu hapa?? Mbili au tatu????
 

Attachments

  • 1398511735575.jpg
    1398511735575.jpg
    34.2 KB · Views: 42
Mkuu Golota & Kifai: Ngoma 3! Tanganyika Kwanza.
 
Safi sana kamanda, karibu hadi ndani mkuu, cha msingi uwe mvumilivu humu ndani cause kuna raha na karaha plus shombo
 
karibu sana unaweza kuniambia nani alikushawishi kujiunga ?na inakubidi uwe na itikadi ya sirikali 3 na Cdm damu ok
 
Back
Top Bottom