Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,435
- 1,192
- Thread starter
-
- #241
Poor minded oohI won't come to Mwalimu Nyerere Air Port unless you improve English (grammar).
HahahKama umesoma kitabu cha No Longer at Ease,we jamaa unaandika kiingereza kama cha Obi baada ya kutoka masomoni Ulaya
Bado nko Dar.mkuuvipi ushafika Zenji?
Ebu irekebishe mkuu manake mm naiona sahihiWa kutoka UK anasema I have got????????
Kweli bado tuna kazi pevu.
Rais wangu endelea kutumia kiswahili tu, hakuna namna.
Ningekusahihisha kwa mengi lakini ngoja niishie hapo tu nisipoteze muda.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Which bird company are you rising with??
Nikiconnect Uzi huu na ule Uzi mwingine wa Division three ya kata na Feza halafu nikaangalia content ya kilichoandikwa plus kizungu cha Obi wa No Longer At Ease nikapata jibuI would like to inform you members of jamii forums, I have got a short holid, therefore I decided to journey to Tanzania to celebrate with you for Christmas day and new year. So my best friends especially for those living Dar.es Salam. just come to mwalimu nyerere air port, For the necessary assistance. Thanks for your hospitality my dear.
ungebaki huko huko.ndgI would like to inform you members of jamii forums, I have got a short holiday, therefore I decided to journey to Tanzania to celebrate with you for Christmas day and new year. So my best friends especially for those living Dar.es Salam. just come to mwalimu nyerere air port, For the necessary assistance. Thanks for your hospitality my dear.
😀😀😀😀😀😀😀😀 JF bana raha kweli kweli.Which bird company are you rising with??
Mchagga kwa kupenda pesaandaa 300usd nakuja serious
Huyu ndiyo "msomi" na anasoma Uingereza kwa Waingereza na Kingereza chenyewe ndiyo hicho.
Hakika Watanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Pesa tamu banaMchagga kwa kupenda pesa
NyaishoziHahahahahahahahahahahaaaaaa....
Haki huu uzi utaondoka na mbavu zangu...
Do you mean huyu mtu ndugu zake wako Kashozi na Kanyigo?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Pesa tamu bana
Ni Mzanzibar sio mdanganyika.
Haya mkuu karibu sana bongo jamani!Mkuu Juzi nimeingia sa 4 na nusu Airport
Ulijui usemalo usamehewe bureWazanzibari niwajuao wana uelewa mzuri sana wa Kingereza.