Nipongeze Serikali kwa kufanya uamuzi wa kuzuia Bodaboda na Bajaji kuingia mjini wamefanya jambo la maana sana

Nipongeze Serikali kwa kufanya uamuzi wa kuzuia Bodaboda na Bajaji kuingia mjini wamefanya jambo la maana sana

Ndugu Mayunga234

Nakusalimu, Mimi ninaweza kuwa tofauti kidogo na mtazamo wako.


Ulichoandika , umeongelea upande mmoja tuu wa hawa jamaa ( bodaboda ) kana kwamba sisi wenye magari ni malaika

Sio kweli kwamba hawa jamaa wote ni wezi , sio kweli hawa jamaa kwamba wote ndio wasababishi wa ajali za mara kwa mara kana kwamba wao hawadhuriki.

Ni ajali ngapi zinasababishwa na sisi wenyewe wenye magari?

Kumbuka, hawa jamaa wengine kupitia hizo pikipiki wanasomesha watoto wao na kuendesha maisha yao ya kila siku.

Itoshe tu kutoa taarifa, lakini sio kushangilia kwa kuwakandia, jamaa kuna sehemu wanasaidia sana mfano kuwahi makazini asubuhi ( kukwepa foleni ) n.k

Sio jambo zuri kuwakandia kiasi hiki, ni watu wanao tafuta ridhiki zao za kila siku kama ilivyo wewe na Mimi.
 
Kwa kuzuia Bodaboda Serikali ijipange maana traffic kazi hii hawaiwezi Ila wale wanoko Majembe auction Mart pengine wakamudu.
Hivi mnajua maana ya serekali ni law and order
 
Ndugu Mayunga234

Nakusalimu, Mimi ninaweza kuwa tofauti kidogo na mtazamo wako.


Ulichoandika , umeongelea upande mmoja tuu wa hawa jamaa ( bodaboda ) kana kwamba sisi wenye magari ni malaika

Sio kweli kwamba hawa jamaa wote ni wezi , sio kweli hawa jamaa kwamba wote ndio wasababishi wa ajali za mara kwa mara kana kwamba wao hawadhuriki.

Ni ajali ngapi zinasababishwa na sisi wenyewe wenye magari?

Kumbuka, hawa jamaa wengine kupitia hizo pikipiki wanasomesha watoto wao na kuendesha maisha yao ya kila siku.

Itoshe tu kutoa taarifa, lakini sio kushangilia kwa kuwakandia, jamaa kuna sehemu wanasaidia sana mfano kuwahi makazini asubuhi ( kukwepa foleni ) n.k

Sio jambo zuri kuwakandia kiasi hiki, ni watu wanao tafuta ridhiki zao za kila siku kama ilivyo wewe na Mimi.

Sawa Mkuu
 
Ndugu Mayunga234

Nakusalimu, Mimi ninaweza kuwa tofauti kidogo na mtazamo wako.


Ulichoandika , umeongelea upande mmoja tuu wa hawa jamaa ( bodaboda ) kana kwamba sisi wenye magari ni malaika

Sio kweli kwamba hawa jamaa wote ni wezi , sio kweli hawa jamaa kwamba wote ndio wasababishi wa ajali za mara kwa mara kana kwamba wao hawadhuriki.

Ni ajali ngapi zinasababishwa na sisi wenyewe wenye magari?

Kumbuka, hawa jamaa wengine kupitia hizo pikipiki wanasomesha watoto wao na kuendesha maisha yao ya kila siku.

Itoshe tu kutoa taarifa, lakini sio kushangilia kwa kuwakandia, jamaa kuna sehemu wanasaidia sana mfano kuwahi makazini asubuhi ( kukwepa foleni ) n.k

Sio jambo zuri kuwakandia kiasi hiki, ni watu wanao tafuta ridhiki zao za kila siku kama ilivyo wewe na Mimi.
Sheria huwa haiangalii kama wewe unasomesha au husomeshi.... Tii Sheria bila Shuruti. Mrango mmoja ukifungwa mingine hufunguka acha uoga.
 
Back
Top Bottom