kaa kimya laikini uje banaa........ila hapo hakuna maji ya matunda!
Nitafanya pale tu ubaguzi utakapopungua JF. Kuna watu hata watukane vipi hawapewi ban, kuna watu hata waposti nini kitaachwa ila wale unknowns kitafutwa mara moja au kupewa ban mara moja......haya yakiisha nitakuwa tanzaniate member na sio gold
Nitafanya pale tu ubaguzi utakapopungua JF. Kuna watu hata watukane vipi hawapewi ban, kuna watu hata waposti nini kitaachwa ila wale unknowns kitafutwa mara moja au kupewa ban mara moja......haya yakiisha nitakuwa tanzaniate member na sio gold
Hebu come kwa PM labda kuna mazito zaidi ya haya Mrembo by Nature?
ur so right...hata mimi nitakuwa Ruby member.......
Hhahaha wewe umeona nini wangu, hebu tell it as it is
vi kaller det dårlig oppførsel
Sijaelewa hata ulichoandika hapa, ni lugha gani hii??
Hilo tu amu? Nitakulipia,tukutane wapi nikupe hiyo hela?