Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Vielen dankr. Wo was du? Ich habe lange nicht gesehen....
nipo safarini mpendwa nina dhiara kila kukicha kama rais wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vielen dankr. Wo was du? Ich habe lange nicht gesehen....
nipo safarini mpendwa nina dhiara kila kukicha kama rais wenu
haya haya haya wana CC wote,
waliooa na wasiooa, wenye masuria na maSACCOS, mabachelor wazoefu na waviziaji, kina dada/mama wote mliopo humu
habari ya mujini ni kwamba sasa mimi Kaizer nimemove from a 'normal premium member' to a "golden Member" nadhani mnaona hapo pembeni ya avatar yangu, samahani kwa wale wasiokamatia kinywaji!
Sasa basi kama wana Chit chat hebu tujitahidi wala na siye kuappreciate hizi services za JF zikiratibiwa na Maxence Melo na Mike McKee kama mafounder.
Kupata iyo makitu ni elf 30 tuna kulipia ni veeeeery easy.............. Contact Mods
jamani kwa wale ambao bado please do the needful mniunge mkono: habari hizi ziwafikie wana cc wote bila kujali jinsia
CC Arushaone Filipo Arabela Madame B Heaven on earth amu watu8 Paloma Mtambuzi Slave Baba V YNNAH Mamndenyi King'asti figganigga HorsePower Jiwe Linaloishi Kipaji Halisi BADILI TABIA Asnam KakaKiiza Bazazi mzabzab sakapal Double K mimisa miss strong Graca Nivea Himidini Bishanga The secretary manoah Chimbuvu charminglady Nicas Mtei Asprin RR MwanajamiiOne Mzee wa Rula KOKUTONA Mr Rocky Dena Amsi ladyfurahia Katavi mshana jr Mtoto halali na hela manoah Zahra White Mphamvu zubedayo_mchuzi maishapopote Mentor Boflo AshaDii gfsonwin cacico BADILI TABIA Mzizi mkavu Mwita Maranya mwananthropolojia Ruttashobolwa Lady doctor Passion Lady Buswelu Bujibuji Evelyn Salt Chocs chama zomba Ritz Rejao HYGEIA Kaunga FP snowhite
Na wengineo wote. tusaidiane kwenye hii kampeni...hebu jiangalie avatar yako..je, ina kibandiko cha dhahabu kwa pembeni? kama haina, huu ndio wakati wa ku do ze nidiful
BCC: Mwali, Invisible Mike McKee
Likitolewa lile tangazo la beer linalochomoza kila tunapoingia JF siku hizi, ntachangia. Kama lipo basi linatosha kabisa kutulipia wote kuwa gold members na zaidi, maana ukitaka usitake utalibofya tu.
haya haya haya wana CC wote,
waliooa na wasiooa, wenye masuria na maSACCOS, mabachelor wazoefu na waviziaji, kina dada/mama wote mliopo humu
habari ya mujini ni kwamba sasa mimi Kaizer nimemove from a 'normal premium member' to a "golden Member" nadhani mnaona hapo pembeni ya avatar yangu, samahani kwa wale wasiokamatia kinywaji!
Sasa basi kama wana Chit chat hebu tujitahidi wala na siye kuappreciate hizi services za JF zikiratibiwa na Maxence Melo na Mike McKee kama mafounder.
Kupata iyo makitu ni elf 30 tuna kulipia ni veeeeery easy.............. Contact Mods
jamani kwa wale ambao bado please do the needful mniunge mkono: habari hizi ziwafikie wana cc wote bila kujali jinsia
CC Arushaone Filipo Arabela Madame B Heaven on earth amu watu8 Paloma Mtambuzi Slave Baba V YNNAH Mamndenyi King'asti figganigga HorsePower Jiwe Linaloishi Kipaji Halisi BADILI TABIA Asnam KakaKiiza Bazazi mzabzab sakapal Double K mimisa miss strong Graca Nivea Himidini Bishanga The secretary manoah Chimbuvu charminglady Nicas Mtei Asprin RR MwanajamiiOne Mzee wa Rula KOKUTONA Mr Rocky Dena Amsi ladyfurahia Katavi mshana jr Mtoto halali na hela manoah Zahra White Mphamvu zubedayo_mchuzi maishapopote Mentor Boflo AshaDii gfsonwin cacico BADILI TABIA Mzizi mkavu Mwita Maranya mwananthropolojia Ruttashobolwa Lady doctor Passion Lady Buswelu Bujibuji Evelyn Salt Chocs chama zomba Ritz Rejao HYGEIA Kaunga FP snowhite
Na wengineo wote. tusaidiane kwenye hii kampeni...hebu jiangalie avatar yako..je, ina kibandiko cha dhahabu kwa pembeni? kama haina, huu ndio wakati wa ku do ze nidiful
BCC: Mwali, Invisible Mike McKee
ar' u :sick::glasses-nerdy:Aisee rudisha kile kisemeo changu pls............
Ndio unayo tumia nini ?ar' u :sick::glasses-nerdy:
yule mama nani sijui yule ni nduguyo?maana yeye ndio mara zote anapinga miongozo..."Hatuwezi kuendela na mchezo wa mwongozo"...