Nipples kuuma

Truly

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2011
Posts
228
Reaction score
32
Wana JF naombeni mnijuze. Mimi nina kaa na mdogo wangu. Kwa sasa hivi ananiambia maziwa yake japo hayajajaa sana ila nipples zake zinauma.

Nimempima mimba kwa kutumia home testing kit hana. At the same time ana experience spotting period( i mean damu ya mwezi inatoka kdg kdg) kwa sasa siku 21 zimepita hiyo spotting bado ina exist.

Nashindwa hata kuelewa. Hebu nisaidieni ndugu zanguni wana JF
 
mpeleke hospitali akaone wataalamu, hizo spotting pia linaweza kuwa tatizo
 
Truly,
Huyu mdogo wako alishakuwa mwari kabla ya hali hii ya sasa?

kama alikuwa bado hajavunja ungo basi ndio anaingia sasa na pengine imeanza vibaya.

Kama alikuwa tayari ni mwari kabla ni vyema umpeleke kwa daktari, mupate ushauri wa kitaalamu bila ya kumchelewesha.
 


Sio mwali ameshavunja ungo siku nyingi. Ana miaka 24. Nipples zinauma, frequent urination [ hana UTI) yaani kama ana dalili za mimba lakini mimba yenyewe hana.

Sasa spotting imehit siku ya 22 sasa bado ipo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…