Was crazy abt that beard Mehhhn....ndo ugonjwa wangu yani mwanaume akiwa na ndevu napenda sn
He looked cleaaaan and fine braided all the damn time
Ndio Mnyamwezi mwenyewe!
Halafu wazungu hawawagusi ni wao kwa waosasa kamuua halafu ndio anapata hizo pesa au!!!
akili za ngozi nyeusi zinan masizi siku zote,kama yule aliyemuua yule dogo mwingine wa kuitwa xtentation.
labda washkaji walimuona kama snitch wakamtanguliza peponiHuyi jamaa alikua na harakati za kuibadilisha jamii aliyokulia alikua akishirikiana na polisi kwenye maswala ya jamii sasa sijui shida ilikua ni wapi
Hashim Rungwe
Miaka ya zamani sana. Sijawahi kuuliza mwaka
Mkuu naona avatar yk nmuona mwamba mtoto wa migo
amefungwa miaka mitatu Houston,Texas, vipi alikuwa mwanao?Mkuu naona avatar yk nmuona mwamba mtoto wa migo
Hv vp kesi yao alipona?
Nakumbuka rasta lake sana kitambo huyu somali.
I got you, thanksMiaka ya zamani sana. Sijawahi kuuliza mwaka
Mm mwanzo nilikua nasikia vijiwe vya msasani na breakpoint posta
Nikaja kumuuliza mzee mmoja staff wa embassy akanithibitishia.
Ndo maana yule mzee mjanja sana na msela kinyama.
Kiaina si sana. Dah!
vipi lile limama la mbagala bado upo nalo?Kiaina si sana. Dah!
Ila bora kuliko jela ya Magufuli - kila kitu moto!
Tulipotezeana. Msumbufu kipindi humuhitaji anasumbua senti
analipa lakini? kaolewa?Tulipotezeana. Msumbufu kipindi humuhitaji anasumbua senti