Kiwango na malengo ya Elimu itolewayo ndo tofauti. Shuleni elimu inayotolewa ni kwa ajili kuzijua kanuni na nadharia kadhaa za masomo mbalimbali, ila chuoni hutolewa elimu yenye lengo la kuendelea kukuza nadharia za awali na kupanua maarifa zaidi kwa kuhusianisha hizo nadharia na vitendo. Kwa kifupi chuoni watu hujifunza kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.