Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ntashukuru sana.Usijari umepata bado kupewa tu ngoja nibebe mambumba hayo
Adimu sana siku hizi. Vitabu vingi vya zamani kuvipata ni kazi ngumu kuvipata.Aiseee umenikumbusha mbali na hivyo vitabu. Bulicheka na mkewe Elizabeth na wagagagigikoko
Library umejaribu kuuliziaAdimu sana siku hizi. Vitabu vingi vya zamani kuvipata ni kazi ngumu kuvipata.
Nipo mkoani, library za huku si kama ya taifaLibrary umejaribu kuulizia
Hiki machinga wengi wa vitabu wanachoMimi natafuta kitabu cha hekaya cha abunuasi
Hiyo bei ni nzuri sana mkuu, tena ipo juu. Ukienda kununua kitabu haifiki hiyo, ni vile tu vimekuwa adimu.Hio gharama ndogo Sana kwa vitabu vya alfu Lela ulela vyote vinne kuviscan vina page nyingi , nyumban tunavyo alfu lela ulela vyote vinne na vya hadisi za zaman kibao ,mpaka lile likitabu la binti chura tunalo na vingine vingi
Fanya maarifa tufanye biashara?Hio gharama ndogo Sana kwa vitabu vya alfu Lela ulela vyote vinne kuviscan vina page nyingi , nyumban tunavyo alfu lela ulela vyote vinne na vya hadisi za zaman kibao ,mpaka lile likitabu la binti chura tunalo na vingine vingi
Kama huna haraka nivumilie Dec nikienda nyumban nikutumie mavitabu yote,tuna mavitabu mengi ya hadithi sababu mama alikua mwalim enz za uhai wake pale hailsalasi unguja.kama huna harakaFanya maarifa tufanye biashara?
Sema ni urgency, lakini tutafutane kipindi hicho bado nina shida na vitabu vingi.Kama huna haraka nivumilie Dec nikienda nyumban nikutumie mavitabu yote,tuna mavitabu mengi ya hadithi sababu mama alikua mwalim enz za uhai wake pale hailsalasi unguja.kama huna haraka
Hakuna shidaSema ni urgency, lakini tutafutane kipindi hicho bado nina shida na vitabu vingi.
Upo wapi mkuu tuonge biasharaHio gharama ndogo Sana kwa vitabu vya alfu Lela ulela vyote vinne kuviscan vina page nyingi , nyumban tunavyo alfu lela ulela vyote vinne na vya hadisi za zaman kibao ,mpaka lile likitabu la binti chura tunalo na vingine vingi
Kama mkuu anachoka kusubiri nipo hapa nakungoja kiongoziKama huna haraka nivumilie Dec nikienda nyumban nikutumie mavitabu yote,tuna mavitabu mengi ya hadithi sababu mama alikua mwalim enz za uhai wake pale hailsalasi unguja.kama huna haraka