Nisaidie nahitaji maboksi ya kufungashia bidhaa nitapata wapi ?

Nisaidie nahitaji maboksi ya kufungashia bidhaa nitapata wapi ?

ehee kumbe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2013
Posts
267
Reaction score
155
Wana jf wenzangu,mimi ni mfugaji wa nyuki na mzalishaji mkubwa asali.ninahitaji maboksi ya karatasi ngumu kwa ajili ya kuweka chupa za asali.maboksi hayo yawe na uwezo wa kubeba dazani moja ya chupa za ujazo wa lita moja.nimejalibu kutafuta niwapi wanatengeneza ili nitengenezewe nimekosa.naomba kama kuna mtu anatengeneza au anajua wapi yanatengenezwa naomba nijulishe.
Nasubiri mnijuze
 
kwakweli sijui ngoja waje ila humu dsm yanapatikana sana
 
wewe upo wapi? Dar au Mkoa? chupa za lita moja zipi kioo au plastic (kama za maji ya kunywa),
 
Ninayo lakini yanawezekana ukubwa ni zaidi ya hayo mahitaji yako uko tayari tuwasiliane niko Dar.
 
wewe upo wapi? Dar au Mkoa? chupa za lita moja zipi kioo au plastic (kama za maji ya kunywa),
mimi niko DOdoma mjini.chupa ninazotumia kuweka asali niza plastic.hizi chupa ni za ujazo wa kilo moja,zingine za nusu kilo.chupa hizi ni fupi si ndefu kama za maji ya kunywa.
maboksi ninayotaka kutengenezewa lazima yawekwe logo yangu,barcods na maelezo ya bidhaa ambayo nitakupa uweke je utaweza ?
mi kuwa Dodoma kusikupe shida kama unaweza tufanye biashara
 
kwakweli sijui ngoja waje ila humu dsm yanapatikana sana
natamani wajitokeze watusaidie maana wajasiriamali wengi tunahangaika mno vifungashio ni shida hasa maboksi
 
natamani wajitokeze watusaidie maana wajasiriamali wengi tunahangaika mno vifungashio ni shida hasa maboksi

Mkuu hongera sana hapa DAR kuna KAMPUNI ya Wahindi inaitwa TLL ipo KEKO CHANG'OMBE km unatokae Kariakoo ukishapita VETA unaingia upande wa KULIA kabla hujafika KIWANDA cha CMBA PLASTIC ndo kipo hicho kiwanda! mm niliwahi kutengeneza hapo Miaka ya 90's nilikuwa nafungia SAMAKI ntajitahidi leo nipite pale nichukue mawasiliano yao then ntatupia hapa Jamvini ucheknao!
 
Wana jf wenzangu,mimi ni mfugaji wa nyuki na mzalishaji mkubwa asali.ninahitaji maboksi ya karatasi ngumu kwa ajili ya kuweka chupa za asali.maboksi hayo yawe na uwezo wa kubeba dazani moja ya chupa za ujazo wa lita moja.nimejalibu kutafuta niwapi wanatengeneza ili nitengenezewe nimekosa.naomba kama kuna mtu anatengeneza au anajua wapi yanatengenezwa naomba nijulishe.
Nasubiri mnijuze

Nenda pale EPZA, external, Mandela road, kuna viwanda kama vinne vya packaging materials.
 
ni pm tafadhali
mimi niko DOdoma mjini.chupa ninazotumia kuweka asali niza plastic.hizi chupa ni za ujazo wa kilo moja,zingine za nusu kilo.chupa hizi ni fupi si ndefu kama za maji ya kunywa.
maboksi ninayotaka kutengenezewa lazima yawekwe logo yangu,barcods na maelezo ya bidhaa ambayo nitakupa uweke je utaweza ?
mi kuwa Dodoma kusikupe shida kama unaweza tufanye biashara
 
Mkuu hongera sana hapa DAR kuna KAMPUNI ya Wahindi inaitwa TLL ipo KEKO CHANG'OMBE km unatokae Kariakoo ukishapita VETA unaingia upande wa KULIA kabla hujafika KIWANDA cha CMBA PLASTIC ndo kipo hicho kiwanda! mm niliwahi kutengeneza hapo Miaka ya 90's nilikuwa nafungia SAMAKI ntajitahidi leo nipite pale nichukue mawasiliano yao then ntatupia hapa Jamvini ucheknao!
nashukuru kwa taarifa yako nzuri sana.nakuomba jitahidi tupate contact zao ili wana jf tusisumbuke tena
 
...watafute jamaa wanaitwa OMAR PACKAGING,wako njia ya uwanja wa ndege karibu na kings furniture. Hawa jamaa ni moja ya viwanda vya bakhresa na ndo vinatengeneza pia kwaajili ya bidhaa zake. Peleka specifications zako na nembo zako watakusaidia...
 
nashukuru kwa taarifa yako nzuri sana.nakuomba jitahidi tupate contact zao ili wana jf tusisumbuke tena

Nakupromis MKUU kesho mchana Pitia hapa ntakuwa nimeshaweka mawasiliano yao! Kwakuwa mm nilikuwa naweka Samaki waliniwekea Material icyoloa na MAJI kwaajili yakuweka kwenye FRIDGE! wanakuwekea na LOGO yako!!
 
Kamanda! Ehee kumbe Hebu chek nahao waDOSI wanaitwa TLL, PRINTING n PACKAGING.
Contact: +255 22 286 4196
+255 22 286 3017
Fax : +255 22 286 5183
Mobile: 0754 852 489
Email : sales@tllprinting.com
Website: ::TLL Printing & Packaging - Home
Mkuu km Bado hujafanikiwa chek nao kwa Mawasiliano hayo wanaweza kuwa Msaada kwako kila la Heri!
 
...watafute jamaa wanaitwa OMAR PACKAGING,wako njia ya uwanja wa ndege karibu na kings furniture. Hawa jamaa ni moja ya viwanda vya bakhresa na ndo vinatengeneza pia kwaajili ya bidhaa zake. Peleka specifications zako na nembo zako watakusaidia...
asante nashukuru nitafatilia
 
Back
Top Bottom