Nisaidie tiba maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D)

Nisaidie tiba maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D)

Searching for the truth

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2022
Posts
903
Reaction score
1,851
Hi wana jf.

Wanawake wa jamii forum please nisaidie tiba maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D).

Huu ugonjwa unamtesa sana mwanamke wangu kwa zaidi ya miezi sita sasa, kwa kifupi ugonjwa umekuwa sugu.

Kutokwa na uchafu wa marangi rangi huko chini ukiambatana na harufu imekuwa ni kawaida kwake, nahisi sasa kizazi chake kitadondoka kama siyo kuwa mgumba kabisa

Niliwahi mpeleka Harble Clinic moja hapa Dar, alikutwa na magonjwa mengi kidogo lakini kubwa ilikuwa ni P.I.D, hormonal inmbalance na mifupa kukauka (kukosa uroto).

Vipimo ilikuwa bei rahisi, ila tiba ndiyo ikawa msala, jamaa waliniandikia dawa zao ambazo zilikuwa zinagharimu zaidi ya laki 8 na nusu hivi.

Sasa mimi nikashindwa hali iliyopelekea mpaka sasa wife bado anaishi na haya matatizo hasa P.I.D ndiyo inamtesa sana.

Nilikuwa naomba msaada hasa kwa wanawake ninyi mliponaje mlipo ugua ugonjwa huu, kama naweza pata tiba itayo gharimu chini ya laki moja naombeni mnisaidie, maana wale wachina laki 8 nili shindwa.

Nawasilisha
 
yote kwa yote anywe maji mengi na mazoezi yanaweza kusaidia kuongeza ya mwili.

lakini p.i.d inatibika kupitia dawa za antiobiotic kama Ampicillin hii ndiyo kiboko na kule ile nyengine unaingiza ukeni pmj na panadol.

unaweza kwenda hospital kupata matibabu sahihi ila binafsi najua hayo.
 
Hi wana jf.

Wanawake wa jamii forum please nisaidie tiba maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D).

Huu ugonjwa unamtesa sana mwanamke wangu kwa zaidi ya miezi sita sasa, kwa kifupi ugonjwa umekuwa sugu.

Kutokwa na uchafu wa marangi rangi huko chini ukiambatana na harufu imekuwa ni kawaida kwake, nahisi sasa kizazi chake kitadondoka kama siyo kuwa mgumba kabisa

Niliwahi mpeleka Harble Clinic moja hapa Dar, alikutwa na magonjwa mengi kidogo lakini kubwa ilikuwa ni P.I.D, hormonal inmbalance na mifupa kukauka (kukosa uroto).

Vipimo ilikuwa bei rahisi, ila tiba ndiyo ikawa msala, jamaa waliniandikia dawa zao ambazo zilikuwa zinagharimu zaidi ya laki 8 na nusu hivi.

Sasa mimi nikashindwa hali iliyopelekea mpaka sasa wife bado anaishi na haya matatizo hasa P.I.D ndiyo inamtesa sana.

Nilikuwa naomba msaada hasa kwa wanawake ninyi mliponaje mlipo ugua ugonjwa huu, kama naweza pata tiba itayo gharimu chini ya laki moja naombeni mnisaidie, maana wale wachina laki 8 nili shindwa.

Nawasilisha
Alishawai kutoa mimba kabla?
 
utakuja kuachanisha ndoa babu.

Mojawapo ya sababu kubwa ya matatizo hayo ni kutoa mimba.. ni sehemu ya kujua tu Chanzo cha Tatizo mtu anatoa mimba vipande vibaki na uchafu unashindwa kusafishwa vizuri baada ya siku kuoza na kuanzia kuzaliana kwa bacteria n.k Tumbo linahisi Kuna kitu kipo bado kipo ndani kumbe ni uchafu uliobaki baada ya kutoa mimba madhara yake ndio hayo .

Hata akienda hospital kubwa hilo swali haliepukiki.. Aende Hospital kubwa
 
Mojawapo ya sababu kubwa ya matatizo hayo ni kutoa mimba.. ni sehemu ya kujua tu Chanzo cha Tatizo mtu anatoa mimba vipande vibaki na uchafu unashindwa kusafishwa vizuri baada ya siku kuoza na kuanzia kuzaliana kwa bacteria n.k Tumbo linahisi Kuna kitu kipo bado kipo ndani kumbe ni uchafu uliobaki baada ya kutoa mimba madhara yake ndio hayo .

Hata akienda hospital kubwa hilo swali haliepukiki.. Aende Hospital kubwa
Mimba hakuwahi kutoa ila iliharibika yenyewe.

Hiyo ilikuwa ni mimba ya kwanza, mimba ya pili akazaa mtoto sasahivi ana miaka minne, ila mtoto huyo alimzaa kwa upasuaji.
 
yote kwa yote anywe maji mengi na mazoezi yanaweza kusaidia kuongeza ya mwili.

lakini p.i.d inatibika kupitia dawa za antiobiotic kama Ampicillin hii ndiyo kiboko na kule ile nyengine unaingiza ukeni pmj na panadol.

unaweza kwenda hospital kupata matibabu sahihi ila binafsi najua hayo.
Mkuu kuna mahali sijakuelewa hapa.

1.Unaposema "ile ingine" una maanisha ipi.

2.Kati ya panadol na Ampicillin ipi una meza na ipi unaweka ukeni.
 
Hi wana jf.

Wanawake wa jamii forum please nisaidie tiba maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D).

Huu ugonjwa unamtesa sana mwanamke wangu kwa zaidi ya miezi sita sasa, kwa kifupi ugonjwa umekuwa sugu.

Kutokwa na uchafu wa marangi rangi huko chini ukiambatana na harufu imekuwa ni kawaida kwake, nahisi sasa kizazi chake kitadondoka kama siyo kuwa mgumba kabisa

Niliwahi mpeleka Harble Clinic moja hapa Dar, alikutwa na magonjwa mengi kidogo lakini kubwa ilikuwa ni P.I.D, hormonal inmbalance na mifupa kukauka (kukosa uroto).

Vipimo ilikuwa bei rahisi, ila tiba ndiyo ikawa msala, jamaa waliniandikia dawa zao ambazo zilikuwa zinagharimu zaidi ya laki 8 na nusu hivi.

Sasa mimi nikashindwa hali iliyopelekea mpaka sasa wife bado anaishi na haya matatizo hasa P.I.D ndiyo inamtesa sana.

Nilikuwa naomba msaada hasa kwa wanawake ninyi mliponaje mlipo ugua ugonjwa huu, kama naweza pata tiba itayo gharimu chini ya laki moja naombeni mnisaidie, maana wale wachina laki 8 nili shindwa.

Nawasilisha
Mkuu,
Mtafutie hizi dawa dozi ya CLINDAMYCIN 300MG CAPS na ORNIDAZOLE TABS.

Hii ni doze ya one week..tatizo litaisha na itabakia historia..

Then rudi utupe mrejesho..
Screenshot_20241225-213652.png
Screenshot_20241225-213808.png

Clindamycin Kuna brand nyingi nyingi Sanaa Kuna dalacin na Tidack.. Tidack ni Bei chee

Natamani nikuchukulie hizi dawa buree kabisa maana ni less than 12,000 ambapo Tidack brista 8500 + ornidazole tabs 3500=12,000

Kila lakheli
 
Mkuu kuna mahali sijakuelewa hapa.

1.Unaposema "ile ingine" una maanisha ipi.

2.Kati ya panadol na Ampicillin ipi una meza na ipi unaweka ukeni.

Hatushauri kuweka vitu ukeni bila kujua tatizo limesababishwa na nini ebu usiwe mtu wa kufanya Kila kitu mwenyewe nenda hospital kubwa kaonane na Daktari wanahusika na wanawake

Naona hapo umeshaanza kuharibu kwamba panadol na ampicillin ipi unaweka ukeni ebu jifanye mjinga nenda hospital.

Najua uko chini uke wako unavyotoa harufu na maji maji yenye harufu ya kijani n.k

Halafu sio Kila antibiotics inatibu mashambulizi ya bacteria Kila bacteria ana namna ya kumuondoa kwa dawa yake .

Kesho uende hospital hapa JF umepata ushauri wa mwanzo huo ndio ushauri wa mwisho kwangu
 
Mkuu,
Mtafutie hizi dawa dozi ya CLINDAMYCIN 300MG CAPS na ORNIDAZOLE TABS.

Hii ni doze ya one week..tatizo litaisha na itabakia historia..

Then rudi utupe mrejesho..
View attachment 3185107View attachment 3185108
Clindamycin Kuna brand nyingi nyingi Sanaa Kuna dalacin na Tidack.. Tidack ni Bei chee

Natamani nikuchukulie hizi dawa buree kabisa maana ni less than 12,000 ambapo Tidack brista 8500 + ornidazole tabs 3500=12,000

Kila lakheli
Mkuu heshima nyingi mno kwako, kesho naamkia pharcmacy kabisa kuzisaka hadi nizipate zote.

Ubarikiwe sana kwa ushiriki wako, Mungu akujalie afya tele uuingie na mwaka mpya 2025.
 
Una maanisha hospital haujampeleka bali kwa hiyo herbal clinic tu?

Kama bado jitafakari.
Yeah ni kweli hospital sijampeleka zaidi ya herbal clinic pekee.

Maana huko herbal clinic alichukuliwa vipimo vingi sana ambavyo huenda hospital asingevipata au akavialpata kwa gharama kubwa sana.

Maana ni alifanyiwa check up mwili mzima kwa machine.

Ila tulikuja kushindwana kwenye gharama za matibabu, maana vipimo wanakufanyia bei rahisi, ila dawa zake sasa ndiyo msala.
 
Mkuu heshima nyingi mno kwako, kesho naamkia pharcmacy kabisa kuzisaka hadi nizipate zote.

Ubarikiwe sana kwa ushiriki wako, Mungu akujalie afya tele uuingie na mwaka mpya 2025.
Bei nilizo taja ni wholesale price kwenye retail...

Zinaweza kua double...pia hiyo dalacin c inauzwa whole sale @41,000

Ila akitumia Clindamycin 300mg caps na ornidazole tabs yaan P.I.D Kwishney
 
Mkuu kuna mahali sijakuelewa hapa.

1.Unaposema "ile ingine" una maanisha ipi.

2.Kati ya panadol na Ampicillin ipi una meza na ipi unaweka ukeni.
Nendeni hospitali atapata tiba sahihi ukianza kuchukua dawa humu, mtaishia kutengeneza usugu wa ugonjwa tu.
Na pia achana na herbal clinic hatapona na ndo kwanza ataambiwa aongeze doz.
 
Hatushauri kuweka vitu ukeni bila kujua tatizo limesababishwa na nini ebu usiwe mtu wa kufanya Kila kitu mwenyewe nenda hospital kubwa kaonane na Daktari wanahusika na wanawake

Naona hapo umeshaanza kuharibu kwamba panadol na ampicillin ipi unaweka ukeni ebu jifanye mjinga nenda hospital.

Najua uko chini uke wako unavyotoa harufu na maji maji yenye harufu ya kijani n.k

Halafu sio Kila antibiotics inatibu mashambulizi ya bacteria Kila bacteria ana namna ya kumuondoa kwa dawa yake .

Kesho uende hospital hapa JF umepata ushauri wa mwanzo huo ndio ushauri wa mwisho kwangu
Ni vizuri, nimekuelewa.

Lakini hapa nimekuja nikiwa wazi kuwa TATIZO NI P.I.D sugu.

Hapa nilikuja kupata experience na ushauri hasa kutoka kwa wanawake walio ugua huu ugonjwa kuwa waliponaje ? Ama walitumia dawa gani ?

Kwa hiyo hata nikienda hospitali bado tatizo litakuwa lile lile P.I.D, Then inatibiwaje ? Nikiendaga herbal clinic wale wanatibu kwa lishe ila dawa zao nikishindwa kuzimudu gharama.

NB : Ushauri wako wa kuweka vitu ukeni bila ushauri wa kitaaalam/daktari nime uzingatia.
 
PID ni ugonjwa wa wanawake ambao UNATIBIKA kirahisi tu ukienda hospitali yoyote ukaonana na daktari bingwa yeyote wa wanawake Gynaecologist.

Ushauri ninaokupa kwa uzoefu wangu MGONJWA AENDAE APELEKWE HOSPITALI AKAONWE NA DAKTARI BINGWA WA WANAWAKE...akionana tu na daktari bingwa wa wanawake TATIZO LAKE LITAISHA naamini kila daktari bingwa wa wanawake anaweza kutibu PID vizuri,FUATA USHAURI WA DAKTARI...WAKO.MPELEKE HOSPITALI .

.USITUMIE DAWA KIHOLELA..

Naona ushauri unaotolewa hapa haujakamilika matibabu haya yanayotolewa hapa YAPO NUSU NUSU na hii ni mbaya ukijitibu nusu nusu inapelekea usugu wa vimelea ..na complications zake kwenye kizazi ikiwemo kuweka makovu kwenye kizazi kupelekea UGUMBA mimba kushindwa kuota kwenye kizazi chenye makovu failure embryo implantation UGUMBA ,mimba kutunga njebya kizazi,sepsis septicemia,n.k


mpeleke hospitali haraka..

na madaktari mnaoshauri matibabu hapa mbona yapo nusu nusu hata STGS tu haifuatwi...pia mgonjwa kaja na DX yake anasema anaumwa PID unatembea nayo hiyo hiyo ..hajafanya investigastions hajawa examined thoroughly na hata ishauri masharti ya kuzingatia wakati wa matibabu..hakuna yani juuu juu matibabu ya juu juu haya ni maisha ya mtu..

NJIA SAHIHI YA MATIBABU SAHIHI NI KWENDA HOSPITALI USIPENDE KUTIBIWA KWWNYE MITANDAO..HATA MGANGA WA KIENYEJI TU lazima apige ramli akupime...achukue history...HOSPITALI ZILIWEKWA KWA AJILI YA KAZI GANI....

HITIMISHO
NENDA HOSPITALI ONANA NA DAKTARI BINGWA WA WANAWAKE.
 
Yeah ni kweli hospital sijampeleka zaidi ya herbal clinic pekee.

Maana huko herbal clinic alichukuliwa vipimo vingi sana ambavyo huenda hospital asingevipata au akavialpata kwa gharama kubwa sana.

Maana ni alifanyiwa check up mwili mzima kwa machine.

Ila tulikuja kushindwana kwenye gharama za matibabu, maana vipimo wanakufanyia bei rahisi, ila dawa zake sasa ndiyo msala.

Nimesikitika sana
Kwa maana asije kuwa ameongezeka magonjwa au ikawa tabu kutibu. Maombi

Ulipokimbia na hakika bei ingekuwa ndogo

Sijui why hauku mpeleka hospital!!!

Dawa angepewa labda angekuwa salama amepona kabisaaaaa.
 
Back
Top Bottom