zigi 01
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 317
- 170
Ushauri
1.Nendeni hospitali mkatibuwe wote maana huo ugonjwa unahitajika mtibiwe wote unaweza kumtibu mwanamke huku mwanaume anao pia so mkapatiwe matibabu wpte wawili
2.Ni simple sana matibabu yake ukisha patiwa vipimo sahihi na wala hata laki 1 haiwezi kuisha
3.Nenda hospitali yoyote kubwa tu iwe ya private au ya serikali utatibiwa vizuri tu. Ni matatizo madogo tu hayo wala usiumie kichwa.
1.Nendeni hospitali mkatibuwe wote maana huo ugonjwa unahitajika mtibiwe wote unaweza kumtibu mwanamke huku mwanaume anao pia so mkapatiwe matibabu wpte wawili
2.Ni simple sana matibabu yake ukisha patiwa vipimo sahihi na wala hata laki 1 haiwezi kuisha
3.Nenda hospitali yoyote kubwa tu iwe ya private au ya serikali utatibiwa vizuri tu. Ni matatizo madogo tu hayo wala usiumie kichwa.