Nisaidie ushauri...ndoa imenishinda

Typical chagga woman! Mbesa mbele km tai
 
Typical chagga woman! Mbesa mbele km tai

sasa mkuu pesa huna mapenzi huna sasa hapo naishi na wewe ili iweje nikuvumilie wakati yeye anakula raha,..... yani niikose paradiso ya duniani na ya mbinguni nikiikosa pia itakuaje..... kwa hiyo mtu uwe umeeshi maisha ya kijehanamu tokea duniani hadi mbinguni sitaki....... USIKOSE MAPENZI NA KUKOSA PESA PIA NA RAHA.
 
Pole sana,simama hayo ni mapito2 ndugu yangu,simama kijasiri kiuanamke mwombee mumeo atoke katika mikono ya ibilisi. Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake. Na mke ni mlinzi kwa mumewe ni maombi na hekima hapo vyahitajika kuisimamisha ndoa.
 


Uko sahihi, il ahao watu wanaoitwa MAWIFI sina hata hamu nao ni watu wabaya sana kwa hii dunia
 

he he he hatariiiiiii!
 
kama anakurudisha nyuma usimuache ila mtenge kwa mda ajifunze, asikufanye ngazi ya kupandia,
kuachana marukfuku ila kutengana inaweza ikarudisha afya ya ndoa
 
^^
Ndoa maji ya shingo.. Hata ukiondoka mtoto wenu ni daraja litakalowaunganisha.
Mnamsaidia mtoto kukosa mapenzi ya wazazi wawili.
^^

Naomba kuuliza...hivi ni sahihi mtoto kuona mama anatukanwa na kupigwa mbele zake? Hata kama umri wake hauzidi miaka 5, mimi naona ajitenge kwa muda aendelee na mambo yake kwanza akiwa nyumbani kwao(kwa wazazi wake) mpaka mume atakapopata akili ya kumfuata..na kuomba msamaha si chini ya mara 3
 

well said....
 
1. utii nidhamu na heshima kwa mumeo ndugu na jamaa zake wanaowazunguka.
2. Kusali,kusoma dini, kwa wote yeye na wewe na watoto
3. Kuomba idhini kwa mume kwa kila jambo unalotaka kulifanya
4. Haitakiwi kusimamia misimamo isiyo kubarika ktk dini inayoweza kuhatarisha ndoa yenu
5. Waonyeshe upendo wazazi/mzazi hatakama ni vigumu kwako jitahidi kuficha hisia zako
6. Mwanaume ni nguzo ya familia unapaswa kutii na kufuata tarataratibu zote za mume ili mradi hatoki ndani ya mafundisho ya imani yenu (dini)
7. Pia hutakiwi kuwa na sauti ya juu kuliko mume wako na jambo la kulia lia bila sababu za msingi halitakiwi
8. Usiwe ni kikwazo cha mume kutafuta lizki halali na kinyume chake umpe moyo na nguvu katika hilo
9. Kuwa na rafiki wema ni jambo zuri sana na kinyume chake ni baya
10. Elimu kwa watoto ni muhimu hakikisha wanaenda madras na shule kwa kuwa wewe ndio unaeshinda nao hapo nyumbani.
11. Jifunze kushukuru kwa kila neema unayopata
Kwa hayo yote mkiyafuata naamini hapatakuwepo na ugomvi .:tape::tape:
 
piga simu namba 117 watakushauri vizuri ni bure kabisa.
 
Pole sana. Mi nafikiri ni bora kuvumilia yana mwisho hayo. Kama wewe uliishi maisha ya anasa na starehe enzi za ujana wako lakini ukaamua kuacha kwa hiari yako, vivyo hivyo nae ataacha tabia zake mbaya kwa hiari yake. By the way, bado msichana mdogo sana wewe (30) ingawa unajiita mama. Ukiachana na mume wako definately utaolewa tena (uzuri wako) na huyo wa pili ataanza tena masimango, sasa hivi kuhusu mtoto wako (siwezi kulea mtoto wa mwenzangu). Kama ulivyosema umeokoa, basi omba mungu na ombea mumeo abadilike.

Goodluck!
 
hayo ni majanga yaliyokupata ambayo hutakiwi kumshirikisha mtu, ww wajua lipi ni bora kulifanya!
 
Jamani hivi wanawake tuna nini? mtu akupige mpaka ulazwe hospitali bado unavumilia na kuuliza watu eti wakupe ushauri????? Doh ushauri upi? kwamba utayarishe jeneza?? ANZA ANZA usisubiri akuuwe, mapenzi hapo HAKUNA!!!!!:shocked:
 

^^
Nakubaliana na mtazamo wako Chujio akili ya mtoto hunasa upesi matukio ya utotoni na si haki mtoto kuyaona hayo (domestic women violence)
Lakini nachojaribu kutazama ni kuwa hawa hawana nia ya kuachana na kurudiana maana ndoa yao ipo ktk kundi la ndoa zisizo na mlango,,hivyo madhara ya kutengana ni chanzo cha mtoto kuishi kwa sonono.
Zaidi ni kuwa kama wanashida na ngumi wajifungie chumbani watwangane,wakichoka wapumzike pasipo mtoto kujua. Trust me Chujio ndoa zenye mtindo huu zipo nyingi
^^
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…