Shosti pole sana,Siwezi kukwambia ondoka muache mumeo lakini kama ningekua mimi naona hata kunisahau ameshanisahau
yani kwenye raha akale na mpenzi wa nje shida ndio ule nae wewe kwani wewe hujui raha au hujui kutumia? kwakwelu shosti huyo sio mume anajishikiza tuu akifanikisha ataondoka tena lakini angalia moyo wako vile unavyokutuma usije hama mji halafu ukampigia cm mtoto anataka kukusalimia,fanya ukiondoka ndio umeondoka,Jengine mawifi shosti katika hao mawifi atakae kuona wifi sawa asiekuona wifi basi shida yako mume sio wifi wala shemeji mwenye gubu hao watu mie hata hawanilazi macho,muhimu mama mkwe na baba mkwe ..............