Nisaidie ushauri...ndoa imenishinda

Pole sana bnyanya;
nakushauri muache huyo jamaa beba mwanao, badilisha namba ya sim, usiage unahamia wapi kifupi 'Close his chapter 4good'. Kumvumilia zaidi ni kusubiri mauti yako mikononi mwake.
 

Akunyuke tu uanaangalia we kwenu Kweli jibu mapigo.. Haondoki Mtu hapo, kama ni kupigana hata wewe unamjibu hata Kwa kuvizia, wagombanao ndio wapatanao. Hatoki Mtu uwende wapi una kwenu wewe???!! Hapo ndipo kwenu ..! Watu wengine bana miaka 30 uachike gundu..!
 
kwa hiyo aendelee kuvumilia vipigo, manyanyaso na kuabishwa kisa wamezaa? Je huyo mtoto unadhani anakuwa ana furaha anapowaona wazazi wake wakipigana kila siku?
^^
Ndoa maji ya shingo.. Hata ukiondoka mtoto wenu ni daraja litakalowaunganisha.
Mnamsaidia mtoto kukosa mapenzi ya wazazi wawili.
^^
 
Maisha yakaanza...mume wangu alikua ananipenda. Lakin kwasababu ya uzuri wangu wanamme hawajaacha kunisumbua kila leo natongozwa. Mume wangu anajua background yangu...na kwakweli amekua msaada mkubwa katika maisha yangu.

.
Then

Hii Tabia inayozidi kuenea mitaani ya watu kujiita wazuri au kujiona wazuri inatoka wapi? Ee! Uzuri Wa kitu gani, umbo, umri, Kazi au ni Nini mnakiita kizuri Na Kwa nani. Kuna wanawake au wanaume wa ajabu Kweli humu duniani, Eti mie six pack, mara gadenilavu wengine vitumbo kila aina ya ghasia. Uzuri mnaousema ni Upi. Au Kwa kupokea wingi Wa salaam njiani Ndo uzuri? Honestly Mwanamke yeyote akivaa Nguo zinazoonyesha maumbile Yale lazima asumbuliwe njiani sio Kwa Sababu ya uzuri anaweza Kuwa katuni tu lakini watu wanasumbukia boshen. Huwezi kujiita mzuri Kwa stail hiyo.

Kuna kinamama wengi wanajidanganya ati Wao wazuri sana. Sielewi ni mizania ipi wanatumia kujipachikia TBS zao. Kila Mtu ni mzuri tusidanganyane. Nje Kwa mwonekano wako utakiona kibaya but ndani tofauti ..

Nataka mama huyu mzazi Wa Watoto aondoe kwanza fikra potofu kwamba ni mzuri.. Pili asijichanganye ameshazeeka akae apambane Na kidume
Huyo life liendelee.. Maisha majukumu. Ukiona mmeo ana mwanamke we hifadhi ushahidi wa SMS Na cm kisha mtafute Kwa bidii mshushie kitofali Cha kushiba hakikisha umemtenda hasa. Kesi ikienda Mbele ushindi ni wako, utajitetea tu Kwamba hasira Za Ghafla zilikukamata ukamtenda kilema Na hapo Kesi hakuna Kama huyo ni mumeo Wa ndoa labda awe hawara
 
vumilia tu ndo maisha ya ndoa hayo,maji ulishayavulia nguo
 
Jamaa unabadilisha jinsia utadhani ni sticker umebandika mara unataka kwenda Ghana mara nin Duh!
Mpaka unatia huruma hapa ulikua unapima kama story zako zina ualisia

Story yako ilikuwa ya kitapeli kidogo NJIA PANDA clouds ila uliposema kuhusu thread yako JF kuja kuifungua na kuunganisha dots ndio tukapata your TRUE color.
 

Kweli waliosema ndoa ndoano hawakukosea. Mh ila mwambie stoke Yeye we utoke uende wapi. Yeye kama amekuchoka abebe nguo zake aondoke apo ndo kwako na kwa mwanao ukitoka anaingia uyo changu wake.
 
Sawa rudi kwenu
 
tiGo unatoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…