Sija haja ya kukupa pole maana sioni tatizo hapa, kuwa positive sio tatizo kabisa unatakiwa kuikubali hali yako, kuna watu walio kwenye ndoa mmoja kati ya wanandoa yuko positive na mwingine yuko negative lkn wanaishi miaka mingi bila ya kumuambukiza mwingine ilimradi tu kuepuka mazingira yote hatarishi ambayo unaweza kumuambukiza mwenzi wake.
Kwa kuwa uko mjamzito hiki ni kipindi muhimu sana ktk maisha ya kijacho chako, nenda kwa wataalamu wakupe elimu ambayo itakusaidia kupata mtoto ambaye hana maambukizi ya VVU, unajua mtoto anaweza kuambukizwa akiwa tumboni, kipindi cha kujifungua na baada ya kumzaa. sasa basi nenda kapate elimu kwa kimombo inaitwa PMTCT (PREVENTION TO MOTHER CHILD TRANSMISSION) ni muhimu sana pindi unavyozidi kuchelewa kwenda klinic ndo unavyohatarisha maisha ya mwanao aliye tumboni.
Usiwe na wasiwasi dadaaa siku hizi UKIMWI sio tishio tena, kwani waweza peta for many years bila matatizo, ila unatakiwa kuikubali hali hiyo na hii utaipata zaidi utakapokwenda kwa wataamu wa VCT watakupa ushauri mzuri. Pia baada ya kujua hali yako jiunge kwenye club zinaitwa post testing club zinasaidia sana
Kwa kuwa uko mjamzito hiki ni kipindi muhimu sana ktk maisha ya kijacho chako, nenda kwa wataalamu wakupe elimu ambayo itakusaidia kupata mtoto ambaye hana maambukizi ya VVU, unajua mtoto anaweza kuambukizwa akiwa tumboni, kipindi cha kujifungua na baada ya kumzaa. sasa basi nenda kapate elimu kwa kimombo inaitwa PMTCT (PREVENTION TO MOTHER CHILD TRANSMISSION) ni muhimu sana pindi unavyozidi kuchelewa kwenda klinic ndo unavyohatarisha maisha ya mwanao aliye tumboni.
Usiwe na wasiwasi dadaaa siku hizi UKIMWI sio tishio tena, kwani waweza peta for many years bila matatizo, ila unatakiwa kuikubali hali hiyo na hii utaipata zaidi utakapokwenda kwa wataamu wa VCT watakupa ushauri mzuri. Pia baada ya kujua hali yako jiunge kwenye club zinaitwa post testing club zinasaidia sana