Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoka absolutely ni adui roho wa vizuizi pepo ama jini je hao nyoka walikufanyaje!? Uliumwa? Ulikimbia ama uliwaua??Wanajukwaa Poleen na Majukum,Naomben Msaada wa Maarifa kutafasiri Ndoto.
Ukiona Nyoka wawili kwenye Ndoto huwa wanamaanisha nini?
What about kwenye dream, ulichomoka mahali and unakimbizwa but ukafanikiwa kuwakwepa wanao kukimbiza?Nyoka absolutely ni adui roho wa vizuizi pepo ama jini je hao nyoka walikufanyaje!? Uliumwa? Ulikimbia ama uliwaua??
Luka 10:19 tazama nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge na nguvu zote za adui hakuna kitakacho wadhuru
🤣🤣🤣Ukiona nyoka wawili kwenye ndoto, maana yake umeona nyoka wawili kwenye ndoto, hakuna cha zaidi.
Unakua umeshinda nguvu ya adui boss ila itahitaji maombi pia mungu akyepushe zaidiWhat about kwenye dream, ulichomoka mahali and unakimbizwa but ukafanikiwa kuwakwepa wanao kukimbiza?
Nilimkosa Wakwanza Akatokea Mwengine Sehem tofaut na alipokuwepo wa kwanzaNyoka absolutely ni adui roho wa vizuizi pepo ama jini je hao nyoka walikufanyaje!? Uliumwa? Ulikimbia ama uliwaua??
Luka 10:19 tazama nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge na nguvu zote za adui hakuna kitakacho wadhuru
Omba sana bossNilimkosa Wakwanza Akatokea Mwengine Sehem tofaut na alipokuwepo wa kwanza
Jipange mashambulizi ni makali, huyo wakwanza alikuwa Azam, huyo wapili inasemekana ni Tabora na wewe ni yanga, huu ni mfano tu.Nilimkosa Wakwanza Akatokea Mwengine Sehem tofaut na alipokuwepo wa kwanza
Omba sana maadui ni wengiN hali Ya vita Mkuu
Sometimes is the sign of healingSnake is a sign of witchcraft