Nisaidien nifanye nn ili aniache na maisha yangu

Kama kweli unauhakika unataka akuache, be a woman, mtafute mkewe muonyeshe sms anazokutishia, then mkewe ndo amkanye. Aanhaaa huo utam anauona leo mwehu nini, anataka amiliki wana wake wawili wawili then wenzake wapate wapi kama si uselfish huo. Kimbiza akafie mto kagera huko.
 
Asante mamashka umesomeka.
 
Mtumie rafiki yako yeye ndo aongeenae kupitia sim yake hafu mpange dili akitokea usimkopeshe,mpe "live"

Mwambie aache kukutishatisha, kama mliachana aenddelee na maisha yake na ww uwe huru.
Asante kwa ushauri madau.
 
Asante kwa ushauri na kunitabasamisha!
 
mimi nakushauri na wewe uwe kauzu mtafute mke wake umpe mkanda mzima na umwambie amfikishie mumewe ujumbe kwamba ahache kukufuatafuata dawa ya mume wa mtu akikuzingua wakilisha kwa mkewe lazima ashike adabu

Kiukweli Mamaa K huna ushauri mzr na mi sikupendi,
Kumbuka hawa watu initially walipendana na bado huyu mdada anampenda jamaa, na jamaa naye bado anampenda bibie so actions zake za sahz ni kama anarepent y alitoa maamuzi ya haraka kuachana na msichana wake ila tatzo ni hiyo mipombe yake.
Cha msingi mtoa sred atueleze wat made his fiance' turn in2 ulevi pengine ni marafiki au stress na vle the way binti alivokuwa anamuaproach once he was drunk!
So mshkaj hana kosa cha msingi kama wanapendana na anataka tulizo la moyo kiukweli wangeketi chini wayamalize.
Na we would like to seek info frm the other side ndani ya ndoa yake je jamaa anaenjoy au anamtesa tu mkewe wa shaz as intruder.
Ushauri wa bure WanaJF uskubal kuingia kwenye relation na mtu ambae either amemtema/ kutemwa na mwenz wake coz alwys maamuz yoyote yalofanyika hapa is lyk a substitute kupunguza machungu whl in reality she/he still thinkingo of the former relationship.
 
Nimekuelewa vizuri na haya ni majibu,
1.wakati tunakutana hakuwa na kipato kikubwa kilipoongezeka ndio akawa mlevi kupindukia.
2.C mpendi tena na nilimchukia baada ya kuwa mlevi na nipojaribu kuliongelea hilo nilitulizwa kwa makofi so mapenz nae sina kbs,na alishaoa ana mke wake.
3.Sio kweli kila anayeanza relation mpya bado anafikiria ya zaman,waulize waliooa wamepitia relation ngapi mpaka kupata mke/mme ukipata jibu linganisha na ushauri uliowapa wana JF hapo.
4. Kuhusu ndoa yake sina sababu ya kujua kinachoendelea kati yake na mkewe coz hainihusu.
 
Hizi habari zingine hizi!!!!!!!!!! Hivi huwa mna-date watu wa aina gani???!!!!!!!!!
 
Hizi habari zingine hizi!!!!!!!!!! Hivi huwa mna-date watu wa aina gani???!!!!!!!!!
People do change,coz before hakuwa wa aina hiyo alibadilika on the way, wala usinilaumu kwa hilo!
 
mtumie message mwambie akiendelea na tabia hiyo utalifikisha hilo jambo kwa mkewe (jiandae kwa varangati toka kwake au kwa mkewe), au mtumie huyo dada yako akakutolee taarifa....au mtumie message mwambie utalifikisha hilo swala mbele ya sheria kwa kuwa anakunyanyasa kijinsia (anakubaka kihisia) ....thn msikilizie akizngua tena mripoti kweli......
 
Nenda kamripoti polisi uchukue Rb akilala ndani siku mbili tu akili inaingia. Hana mapenzi yoyote ubinafsi tu ndio unamsumbua hataki kuona una move on wakati yeye ameshaoa! WANAUME!
 
ina maana bado na ungali wampenda
 
Pole kwa kuwahi kuwa na mwanaume mwenye tabia ya kipumbavu, nyoka wa mdimu anayedhani anamdanganya mke wake kumbe anajidanganya nafsi yake mwenyewe. Ningekupa ushauri lakini unaweza usiwe wa kiraia ( civilian), lakini kama wanavyosema wadau wasilisha hizo meseji kwa familia yake ( mkeo au ndugu zake). Huyu mtu hana maana yoyote kwako kimaisha, atakupotezea muda na kukuadhiri kisaikolojia wakati tayari ana familia yake. Ikishindikana itabidi ufikishe kwenye vyombo ya dola. Jamani wanaume ukiamua kumuacha mtu na kuanza commitment na mwingine basi uheshimu maamuzi, na kama huwezi kuheshimu maamuzi basi ni bora usiyafanye.
 
Kwa analysis yako basi 99% ya wanandoa wameoana ki mapoozeo (rebound). Maana sidhani kama kuna wengi wanaooa virgin wa kike na wa kiume. Most of us have married to those who have broken up from relationships (and we also have our past relationships) but we are still loved more than their past lovers.


Hence hapo kwenye bold naona kama ni void.
 

Umeongea point kisima nikweli angalie wanaume wengine nikama wameumbwa kutesa wanawake zao. Hawa wathamini wala nini, wala asitamani hata kuongea na amchunie tu, chamsingi akipata boyfriend mwingine ampe ukweli wote kabla hawajaanza mahusiano yakaribu sana. Wakati huyu anakuja kuharibu, aaibike mwenyewe na uchonganishi wake.
 
Asante kwa ushauri mkuu.
 
Asante kwa ushauri Ground zero hope na wengine wenye vitabia kama hivi amepata ujume wako.
 
ina maana bado na ungali wampenda
Wala simpendi hata kidogo,tabia zake zilisababisha mapnz yangu kwake yakaisha kbs ndio maana nikachapa mwendo.
 
Nenda kamripoti polisi uchukue Rb akilala ndani siku mbili tu akili inaingia. Hana mapenzi yoyote ubinafsi tu ndio unamsumbua hataki kuona una move on wakati yeye ameshaoa! WANAUME!
Kama ikishindikana kwa njia za kistarabu itabidi nimpeleke polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…