Nisaidieni: 5mil Kuanzia biashara

saaaaaafi!
PAMEKUCHA SASA!...nifanyie mpango wa hiyo bidhaa

Poa mgoyo..........! tapitia hapo next week nina trip ya huko! Sasa huyu bibie si anabidha hiyo for now? vipi hamkuenda chemba?
 
Poa mgoyo..........! tapitia hapo next week nina trip ya huko! Sasa huyu bibie si anabidha hiyo for now? vipi hamkuenda chemba?
karibu sana mkuu!sasa hivi tumeboresha sana huduma!........
 
karibu sana mkuu!sasa hivi tumeboresha sana huduma!........
......hope itakuwa iko poa sana now.....nilikosa supu twice pale siku zile...ila sema nikaendelea kufagilia ile mambo ya kuku aisee! so tapitia mchemsho tena nikija....ha!ha!aaaa
 
usiwaze maovu always ktk maisha waza mema

Uovu gani niliouwaza? Si umesema mtafanya biashara kama mlivyokubaliana thru foni? Sasa nikiwatakia kila la kheri kuna ubaya gani? BIASHARA NA IDUMU!
 
mmmmmmmmh haya bwana
Uovu gani niliouwaza? Si umesema mtafanya biashara kama mlivyokubaliana thru foni? Sasa nikiwatakia kila la kheri kuna ubaya gani? BIASHARA NA IDUMU!
 
Uovu gani niliouwaza? Si umesema mtafanya biashara kama mlivyokubaliana thru foni? Sasa nikiwatakia kila la kheri kuna ubaya gani? BIASHARA NA IDUMU!
......😀😀!vipi wanasemaje basihaya?mnatunyima nin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…