Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
Umepata muafaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepata muafaka?
My dia,zamani nilikuwa nafuga mwenyewe but nowdays naona gharama zinakuwa kubwa pia mm niko kazini vijana wanasumbua wat i do nowdays,nachukua oder kwa wiki jmosi nasafiri vijijini kwenda kuchukua mzigo ,jpili nachinja na kupaki kwenye mifuko,jtatu nawapelekea wateja kabla ya kuja kazini
Volume gani?wanaweza kufika 500pcs? bei ni kiasi gani ,ukiona vipi ni pm na uwezo wako ni kuwapeleka mpka wapi na je unaweza ku maintain hiyo supply kwa muda gani?its very true,mm ni msichana muhangaikaji wen it comes kutafuta chapaa,nauza laptops,perfume,nguo,kuku wa kienyeji nk,but kuongeza biashara si vibaya as long as siibi na wala simtegemehi mtu zaidi ya Mungu Tu.
Jamani poleni na majukum,kiukweli mshahara haunitoshi kabisaaaaaaa,natamani nifanye biashara lakini sijui ni ipi,nina kamtaji ka sh m5,nahitaji ushauri wenu,Mungu awabariki sana
Nipo nyanda za juu kusini Pearl,biashara inayolipa ni mazao kuna mpunga,ulezi,mahindi,maharage n.k. Unachoweza kufanya: m5 kwa mazao ni kiasi cha kutosha kuanzia. Unaweza kununua mzigo vijijini kwa bei ya chini na kuleta mjini kuuza kwa bei ya juu na kurudi tena kijijini au unaweza kununua mzigo kijijini/mjini na kuweka stoo na kuuza baada ya bei kupanda,hii inahitaji mtaji zaidi ili utakapofika msimu wa kuuza upate faida nzuri. Pia zingatia muda ulionao,je unakuruhusu kusafiri mara kwa mara? Msimu mzuri wa biashara hizi ni kati ya mwezi wa 4 mwishoni hadi mwezi wa 12. Kwa mzigo uliopo stoo muda mzuri wa kuuza ni kati ya mwezi wa 12 hadi 03.
Mkuu wazo lako nimelipenda nataka kujua wanavuna hayo mazao kuanzia mwez wa ngap na bei yake ikoje pia bei kuwa kubwa kabisa ni mwez wa ngap na inakuwa shiling ngap?