Parapanda italia parapanda
Niko nyumbani siku ya tatu leo, naumwa sana.
Lakini nimeenda kupima ugonjwa hospitali kama tatu, wameniambia ni Malaria.
Dalili ninazozisikia ni:
1. Kuumwa kipanda uso, mpaka macho huwa yanatoa machozi.
2. Homa kali hasa sehemu za tumboni na kifuani.
3. Nakohoa sana.
4. Naharisha sana.
Ila hospitali wanasema ni Malaria, au hawana vipimo vya kupima huo ugonjwa?
Nisaidieni, Naogopa sana kufa.
Homa ya Dengue
Nitajitahidi kutafsiri kwa Kiswahili ila naomba radhi pale ambapo nitakosea
Dalili zake huanza siku 4 mpaka 10 baada ya maambukizi. Dalili zenyewe ni:
1. Homa kali naya ghafla- sudden high, fever
2. Kichwa kuuma sana- severe headache
3. Macho kuuma- pains behind the eyes
4. Maumivu makali ya misuli na joints- Severe joint and muscle pain
5. Kutapika
6. Mabaka kwenye ngozi- skin rash
7. Kutokwa damu hasa puani
8. Kichefuchefu
Tuna ambukizwaje ugojwa
Mbu ndo chanzo chake na wanasambaza virusi vya huu ugonjwa.
Tumtibu vipi mgonjwa
Kwakuwa ni virus basi hakuna dawa maalum ya kutibu ila dakari au wewe na mimi twaweza fanya yafuatayo:
1. Tumia oral yaani nunua pakti ya oral (chumvi na sukari) mpe mgonjwa anywe. Hii ni kurudishia maji yaliyopotea kwa kutapika na homa kali.
2. Mpe Panadol au paracetamol
3. USIMPE MGONJWA ASPIRINI HIYO NI HATARI KWANI ITACHOCHEA INTERNAL BLEEDING
Tiba mbadala
Nchi kama Sirilanka, India, na Malaysia wao wanaitibu kwa majani ya mpapai.
1. Chuma jani la mpapai na ulioshe
2. Saga au twanga au blend kasha kamua upate juisi yake.
3. Mpe mgonjwa vijiko 2/3 india wanachanganya na asali kidogo
Preparation of Papaya leaf juice for curing dengue fever - YouTube
Tazama na hiyo video
Aisee kuna dr wa mwananyamala naskia kavuta jana. Nenda hospitali ya sirikali ukapimwe mndele.
natanguliza rambirambi just in case
Aisee kuna dr wa mwananyamala naskia kavuta jana. Nenda hospitali ya sirikali ukapimwe mndele.
natanguliza rambirambi just in case
Homa ya Dengue
Nitajitahidi kutafsiri kwa Kiswahili ila naomba radhi pale ambapo nitakosea
Dalili zake huanza siku 4 mpaka 10 baada ya maambukizi. Dalili zenyewe ni:
1. Homa kali naya ghafla- sudden high, fever
2. Kichwa kuuma sana- severe headache
3. Macho kuuma- pains behind the eyes
4. Maumivu makali ya misuli na joints- Severe joint and muscle pain
5. Kutapika
6. Mabaka kwenye ngozi- skin rash
7. Kutokwa damu hasa puani
8. Kichefuchefu
Tuna ambukizwaje ugojwa
Mbu ndo chanzo chake na wanasambaza virusi vya huu ugonjwa.
Tumtibu vipi mgonjwa
Kwakuwa ni virus basi hakuna dawa maalum ya kutibu ila dakari au wewe na mimi twaweza fanya yafuatayo:
1. Tumia oral yaani nunua pakti ya oral (chumvi na sukari) mpe mgonjwa anywe. Hii ni kurudishia maji yaliyopotea kwa kutapika na homa kali.
2. Mpe Panadol au paracetamol
3. USIMPE MGONJWA ASPIRINI HIYO NI HATARI KWANI ITACHOCHEA INTERNAL BLEEDING
Tiba mbadala
Nchi kama Sirilanka, India, na Malaysia wao wanaitibu kwa majani ya mpapai.
1. Chuma jani la mpapai na ulioshe
2. Saga au twanga au blend kasha kamua upate juisi yake.
3. Mpe mgonjwa vijiko 2/3 – india wanachanganya na asali kidogo
Preparation of Papaya leaf juice for curing dengue fever - YouTube
Tazama na hiyo video
H aha ha huna akili ww
hyo sentensi ya mwisho?unamaanisha unamtumia hela aende kwenye vipimo?
au unasubiri afe uwe wa kwanza kutuma rambi2
Ni Dr wa Temeke hospital
Nisaidieni, Naogopa sana kufa.
natanguliza rambirambi just in case
Parapanda italia parapanda