Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Niko nyumbani siku ya tatu leo, naumwa sana. Nimeenda kupima ugonjwa hospitali kama tatu, wameniambia ni Malaria.
Dalili ninazozisikia ni:
1. Kuumwa kipanda uso, mpaka macho huwa yanatoa machozi.
2. Homa kali hasa sehemu za tumboni na kifuani.
3. Nakohoa sana.
4. Naharisha sana.
Ila hospitali wanasema ni Malaria, au hawana vipimo vya kupima huo ugonjwa?
Nisaidieni, Naogopa sana kufa.
Dalili ninazozisikia ni:
1. Kuumwa kipanda uso, mpaka macho huwa yanatoa machozi.
2. Homa kali hasa sehemu za tumboni na kifuani.
3. Nakohoa sana.
4. Naharisha sana.
Ila hospitali wanasema ni Malaria, au hawana vipimo vya kupima huo ugonjwa?
Nisaidieni, Naogopa sana kufa.