Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaHoma ya Dengue
Nitajitahidi kutafsiri kwa Kiswahili ila naomba radhi pale ambapo nitakosea
Dalili zake huanza siku 4 mpaka 10 baada ya maambukizi. Dalili zenyewe ni:
1. Homa kali naya ghafla- sudden high, fever
2. Kichwa kuuma sana- severe headache
3. Macho kuuma- pains behind the eyes
4. Maumivu makali ya misuli na joints- Severe joint and muscle pain
5. Kutapika
6. Mabaka kwenye ngozi- skin rash
7. Kutokwa damu hasa puani
8. Kichefuchefu
Tuna ambukizwaje ugojwa
Mbu ndo chanzo chake na wanasambaza virusi vya huu ugonjwa.
Tumtibu vipi mgonjwa
Kwakuwa ni virus basi hakuna dawa maalum ya kutibu ila dakari au wewe na mimi twaweza fanya yafuatayo:
1. Tumia oral yaani nunua pakti ya oral (chumvi na sukari) mpe mgonjwa anywe. Hii ni kurudishia maji yaliyopotea kwa kutapika na homa kali.
2. Mpe Panadol au paracetamol
3. USIMPE MGONJWA ASPIRINI HIYO NI HATARI KWANI ITACHOCHEA INTERNAL BLEEDING
Tiba mbadala
Nchi kama Sirilanka, India, na Malaysia wao wanaitibu kwa majani ya mpapai.
1. Chuma jani la mpapai na ulioshe
2. Saga au twanga au blend kasha kamua upate juisi yake.
3. Mpe mgonjwa vijiko 2/3 india wanachanganya na asali kidogo
Preparation of Papaya leaf juice for curing dengue fever - YouTube
Tazama na hiyo video