Nisaidieni: Hivi kwa hili, nadili vipi na huyu mke wangu mjamzito?

Nisaidieni: Hivi kwa hili, nadili vipi na huyu mke wangu mjamzito?

Kwa hili no, mwanangu anadhalilika mkuu. Ukizingatia ni dume!
Dume dume we kweli umewahi kulea ujauzito? Kama dume mbona unasex na mama yake wakati Ni mjamzito huogopi kumdharirisha mwanao?

Tunapowaambiaga kulea mimba Ni kazi Ni kama hizo, unaweza kujitapa hapa usikute hata mimba sio yako. Haya mkeo anaweza akampanga dogo hata wa miaka 20 kwakazi Kama hiyo tu sijui utajisikiaje, maana mwanamke akiamua Jambo hashindwi kizembe hasa hao wajawazito.

Kalaga baho

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Dume dume we kweli umewahi kulea ujauzito? Kama dume mbona unasex na mama yake wakati Ni mjamzito huogopi kumdharirisha mwanao?

Tunapowaambiaga kulea mimba Ni kazi Ni kama hizo, unaweza kujitapa hapa usikute hata mimba sio yako. Haya mkeo anaweza akampanga dogo hata wa miaka 20 kwakazi Kama hiyo tu sijui utajisikiaje, maana mwanamke akiamua Jambo hashindwi kizembe hasa hao wajawazito.

Kalaga baho

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Daah! Hapo pa kumpanga dogo kwa kazi hiyo ndipo pa kuongelea. Ila suala la mimba kutokuwa yangu hilo mbona haliumizo kichwa mkuu? Sijawahi na sitowahi kulea mtoto asiye wangu kwa kutokujua.

Siwazi kwa sababu akizaliwa, DNA zipo. Both traditional and modern tests.
 
Ndugu hebu tupe Mahusiano yaliyopo kati ya Uume na Mtoto ukiweka Kwenye kitovu. au umeweka Mawazo Potofu tu. Hawa Viumbe wakiwa Hivyo kuna Vitu vinawaenda Siyo wao
Kwa kweli siwezi kurudia, mbaya zaidi anataka nikojoe juu ya tumbo khaaa?!
 
Na kweli ana makosa, kwa nini atake tumdhalilishe mtoto?
Samahani lakini japo cjajua umri wako au upeo wako wakuwafahamu hawa viumbe .... unajumbuka ule usemi wa kuishi nao kwa akili .... mimi nimeongezea kidogo .... tuishinao kwa akili ya ziada .... boss naona hakuna udhqlilishaji hiyo ni mind set yako unavyo itengeneza kwenye akili ... nikushauri tu mkubalie haja yake maishq ya endelee ... jambo dogo linaweza leta mtafaruko mka nuniana wiki nzima tena kitu cha kijinga tu .... kumbuka yupo katika hali gani ....sikiliza ule wimbo wa mama kija ... nafkiri utaelewa zaidi
 
Samahani lakini japo cjajua umri wako au upeo wako wakuwafahamu hawa viumbe .... unajumbuka ule usemi wa kuishi nao kwa akili .... mimi nimeongezea kidogo .... tuishinao kwa akili ya ziada .... boss naona hakuna udhqlilishaji hiyo ni mind set yako unavyo itengeneza kwenye akili ... nikushauri tu mkubalie haja yake maishq ya endelee ... jambo dogo linaweza leta mtafaruko mka nuniana wiki nzima tena kitu cha kijinga tu .... kumbuka yupo katika hali gani ....sikiliza ule wimbo wa mama kija ... nafkiri utaelewa zaidi
Walau umenishauri kwa heshima. Nitaufikiria ushauri wako.
 
Mambo ya kut*mba kitovu ingali Qumma naiona hata siyawezi aseeee
Nashangaa wengi wananishambulia kuwa mimi bado ni mtoto[emoji23][emoji23] yaani na utu uzima huu naitwa mtoto? Hii inaonesha wengi wa humu hii ndiyo michezo yao aisee.
 
Mtoa mada,
Nikufahamishe kwamba mkeo Ni mmojawapo ya WANAWAKE wengi ambao nyege zao zipo vitovuni.

Ni Aina ile ya WANAWAKE ambao wakiwa peke Yao wamerelax hupenda sana kushika shika tumbo lao hasa maeneo ya kitovuni.

WANAWAKE hawa wakati wa foreplay Bila kupitisha ulimi au kidole kitovuni mwao hakuelewi kabisa.

Kilichotokea kwa mkeo Ni mwendelezo wa fantasy yake iyo, Sema Sasa imemkuta akiwa ktk Hali ya mjamzito.

Kama unavoelewa Mambo ya hormone, Huenda ile fantasy ikawa imejidouble Mara mbili na Zaid kupelekea kufikia kikomo Cha uvumilivu wake kwako.

Na ndo maana umeona kaamua kuforce kukuvizia wkt wa sex na kulazimisha umfanyie vile.

Hapo Naweza kusema wewe mwnyw ndo mzembe sana kuishi na mwanamke miaka yote iyo usijue maeneo yapi humpa Raha sana umgusapo muwapo faragha.

Cha kukushauri,
Hebu mtimizie HARAKA iyo fantasy yake mkeo, kwenye mapenz Hakuna kudhalilishana.

Kingine,
Siku nyingine jifunze kumstudy zaidi mkeo kila engo ya maungo yake panakompa Raha zaidi.

Huenda vile unavoona vinamdhalilisha sana, vikawa ndo vinampa Raha zaidi muwapo faragha.

Wish u all the best[emoji4]
 
Mtoa mada,
Nikufahamishe kwamba mkeo Ni mmojawapo ya WANAWAKE wengi ambao nyege zao zipo vitovuni.

Ni Aina ile ya WANAWAKE ambao wakiwa peke Yao wamerelax hupenda sana kushika shika tumbo lao hasa maeneo ya kitovuni.

WANAWAKE hawa wakati wa foreplay Bila kupitisha ulimi au kidole kitovuni mwao hakuelewi kabisa.

Kilichotokea kwa mkeo Ni mwendelezo wa fantasy yake iyo, Sema Sasa imemkuta akiwa ktk Hali ya mjamzito.

Kama unavoelewa Mambo ya hormone, Huenda ile fantasy ikawa imejidouble Mara mbili na Zaid kupelekea kufikia kikomo Cha uvumilivu wake kwako.

Na ndo maana umeona kaamua kuforce kukuvizia wkt wa sex na kulazimisha umfanyie vile.

Hapo Naweza kusema wewe mwnyw ndo mzembe sana kuishi na mwanamke miaka yote iyo usijue maeneo yapi humpa Raha sana umgusapo muwapo faragha.

Cha kukushauri,
Hebu mtimizie HARAKA iyo fantasy yake mkeo, kwenye mapenz Hakuna kudhalilishana.

Kingine,
Siku nyingine jifunze kumstudy zaidi mkeo kila engo ya maungo yake panakompa Raha zaidi.

Huenda vile unavoona vinamdhalilisha sana, vikawa ndo vinampa Raha zaidi muwapo faragha.

Wish u all the best[emoji4]
Thanks, sio vile ambavyo vinamdhalilisha, ni vile ambavyo vinamdhalisha kijacho.
 
Kwa ufupi sana wew ni kitoto cha juzi... unakaa hapa unatuambia wew mtu mzima halafu vitu unavyoongea ni vya mtoto wa form one asee, usisumbue vichwa vyetu asee vina mambo mengi ya kufanya kuliko kushauri uzembe wako mwenyew... eti unamdhalilisha mtoto, mtoto ndio anakaa kitovun? umemuona hapo? sasa mbona sehemu anapotokea umeweka dudubwasha lako? kwa nin usimheshimu dume lako? sasa ukiambiwa uweke sikioni au mdomoni?😡😡😡
 
Sasa bradha,wewe ndo wa kujiita mkubwa kweli??. Mbona ishu yako hii ni ya kawaida tu!!, Wanawake wanapokuwa wajawazito huwa na vitabia fulani hivi vya tofauti.Hivi unaweza kutupa Sababu za Kwanini wewe unaona kusex na mkeo kwa njia ya kitovu chake ni kumdhalilisha mtoto wenu?. Ushauri WANGU.
Hebu nendeni hospitali wewe na mkeo mkajiulize kwa Madaktari hususani wa Wanawake juu ya Jambo hilo; Ikiwa mkeo atagoma basi nenda wewe peke yako ili kujua km kuna madhara au lah!!,Km hakuna madhara basi wewe piga mzigo lah kuna madhara basi mweleweshe mkeo hayo madhara.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufupi sana wew ni kitoto cha juzi... unakaa hapa unatuambia wew mtu mzima halafu vitu unavyoongea ni vya mtoto wa form one asee, usisumbue vichwa vyetu asee vina mambo mengi ya kufanya kuliko kushauri uzembe wako mwenyew... eti unamdhalilisha mtoto, mtoto ndio anakaa kitovun? umemuona hapo? sasa mbona sehemu anapotokea umeweka dudubwasha lako? kwa nin usimheshimu dume lako? sasa ukiambiwa uweke sikioni au mdomoni?😡😡😡
Ok, ahsante.
 
Sasa bradha,wewe ndo wa kujiita mkubwa kweli??. Mbona ishu yako hii ni ya kawaida tu!!, Wanawake wanapokuwa wajawazito huwa na vitabia fulani hivi vya tofauti.Hivi unaweza kutupa Sababu za Kwanini wewe unaona kusex na mkeo kwa njia ya kitovu chake ni kumdhalilisha mtoto wenu?. Ushauri WANGU.
Hebu nendeni hospitali wewe na mkeo mkajiulize kwa Madaktari hususani wa Wanawake juu ya Jambo hilo; Ikiwa mkeo atagoma basi nenda wewe peke yako ili kujua km kuna madhara au lah!!,Km hakuna madhara basi wewe piga mzigo lah kuna madhara basi mweleweshe mkeo hayo madhara.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Fall Army Worm[emoji122][emoji122] shukrani sana.
 
Back
Top Bottom