Tanki
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 538
- 246
wakuu, nimeathiriwa na kujichua kwa muda mrefu ( ni kama miaka nane hivi ). Sikutaka kuwa na msichana hadi nitakapo kamilisha vitu fulani fulani vya kimaisha. Sasa leo nina msichana ambaye nina uhusiano nae lakini tatizo linakuja pale tunapokuwa falagha. Yani uume wangu unasimama ila unakuwa dhaifu na hauchelewi kunywea. Hii ni tofauti na zamani ambapo uume ulikuwa unasimama na kuwa strong kabisa. Yani jamani hata kile kitendo cha kuuingiza kwenye uke inashindikana. Yani nikiingiza kwakuwa ni dhaifu basi unapinda kabisa na kushindwa kuingia. Tena haipiti siku bila uume waku kusimama. Siyo mchana wala usiku wala asubuhi uume huwa unasimama tu. Ila tatizo hauwi strong.
NILICHOAMUA KUFANYA.
Niliposoma madhara ya kujichua nikagundua kuwa tatizo langu litakuwa linasababishwa na kujichua. Sasa nilichoamua kufanya ni yafuatayo......
1. Kuacha KUJICHUA.
Kuacha kula sembe na kuanza kula DONA ama mara nyingine UGALI wa MUHOGO.
2. Kula matunda kama Tikiti, palachichi, machungwa n.k
3.Kula pweza na mchuzi.
4. Kula asali asubuhi na jioni kabla ya kulala.
5. Najitahi kunywa maji mengi kwa siku.
6.Najitahidi Kufanya mazoezi. Nina mwezi mmoja na nusu tangu niache kujichua na kufanya haya nianayoyasema ( sasa hivi yani hadi watu wananishangaa the way ninavyokuwa strong kimwili ) ila bado tu kule kwenye uume ukisimama bado hauwi strong.
Je, niendelee hivi au niongeze nini au nifanye nini ili nirudi kwenye hali yangu ya awali???? Nisaidieni wakuu.
NILICHOAMUA KUFANYA.
Niliposoma madhara ya kujichua nikagundua kuwa tatizo langu litakuwa linasababishwa na kujichua. Sasa nilichoamua kufanya ni yafuatayo......
1. Kuacha KUJICHUA.
Kuacha kula sembe na kuanza kula DONA ama mara nyingine UGALI wa MUHOGO.
2. Kula matunda kama Tikiti, palachichi, machungwa n.k
3.Kula pweza na mchuzi.
4. Kula asali asubuhi na jioni kabla ya kulala.
5. Najitahi kunywa maji mengi kwa siku.
6.Najitahidi Kufanya mazoezi. Nina mwezi mmoja na nusu tangu niache kujichua na kufanya haya nianayoyasema ( sasa hivi yani hadi watu wananishangaa the way ninavyokuwa strong kimwili ) ila bado tu kule kwenye uume ukisimama bado hauwi strong.
Je, niendelee hivi au niongeze nini au nifanye nini ili nirudi kwenye hali yangu ya awali???? Nisaidieni wakuu.