Nisaidieni jamani mwanamke katishia kuniua

lakini mkuu turudi nyuma kidogo..hivi ukimaliza si unavua sox chafu na kuweka panapotakiwa?

mara nyingi ikitokea mpasuko huwa ni nchani lakini shingo(ile upper ring) lazima ibakie mabegani hivyo isingebaki ndani unless ilivuka halafu ukaipush na yeye kwa starehe hakunote


Nadhan wote mlikoleza ma-ballantines na mechi ikawa na vurugu sana halafu mkalala,kushtuka kumekucha mzee mzima ukapiga shower na kuchomoka

na kama alishafanya sex na mtu mwingine je kabla yako bila kinga je utajuaje kama umerutubisha wewe

anyway kapimeni tu mtajua
 



kweli kaka ingekuwa ulichukua wale buku 5 au buku 2 mwananyamala/buguruni pengine ungekuwa unaongea mengine then next tm uangalie condom unazotumia zipo knye kiwango!
 
sasa kama siyo mbongo unaogopa nini forener anakutishaje knye nchi yako? au wakihindi coz hawa ngio waoga sana kuzaa na ngozi nyeusi,,,,,,,,............mkuu kama umengia kwa ndugu zake na rostam watakukuomesha hawa jamaa wanaroho mbaya sana

hahaha mkuu !! mi hapa naomba tu mdada wa watu asipate mimba manake hilo bit si mchezo na nina uhakika alikuwa hatanii kwa sababu sio mtoto mdogo yeye ana umri wa miaka 24 na anafanya kazi
 
kweli kaka ingekuwa ulichukua wale buku 5 au buku 2 mwananyamala/buguruni pengine ungekuwa unaongea mengine then next tm uangalie condom unazotumia zipo knye kiwango!

condoms zipo kwenye kiwango mkuu na kuhusu huyu mdada ni mtu wa hesima na nilikuwa namsumbua kwa mda mrefu sana sasa alikuwa anaondoka anaenda vacation india so akawa ameniita kuniaga ndio mambo yakawa mabo so ni mdada na heshima
 

akijifungua DNA mhuhimu anaweza kuwa msanii huyo
 

Kwanza pole sana kwa kuwa na kidodoma kidogo, maana huwa hazivuki hivihivi tu, pili nakupa pole sana kwa kudhani imepasuka and then you continued to do it... how careless of you!!!

Tatu namsikitikia huyo dada kwa kutojua ni ipi, ina maana hata hata feelings za mabadiliko ya hali ya gulio

Pia jitahidi sana upime ngoma na umpime mimba ili kama anayo basi mjiandae
 
Ivuga ndugu yangu naona kama bado una muda wa kuepuka huu ujauzito kama utatokea. Kuna hiki kidonge, labda huko uliko kitakuwa na jina tofauti. Kama unaweza hakikisha kinapatikana leo ili akitumie na maelezo yote atayapata huko atakokinunua. KILA LA HERI!

In the United States, some morning after pills are available without prescription for women and men 17 and older. Just ask your pharmacist for Plan B One-Step or Next Choice. A different type of emergency contraceptive pill (sold under the brand name “ella”) is available by prescription. ella is the most effective option for EC, particularly on the 4th or 5th day after unprotected sex.
 
sio kweli mkuu ilivuka kwa sababu nilikuwa naenda raundi ya nne na jamaa alikuwa ashachoka na keep inmind kuwa huyu alikuwa sio demu wangu na mimi nina demu ambaye mchana wote alishinda kwangu....so can you imagine? na nisingeweza kumpotezea kwa sababu nilimuwinda kwa mda mrefu sana na likuwa anaondoka kwenda vacation
 

mkuu nashukuru san akwa msaad wako ila huyu binti alishaondoka tr 22 kwenda india an up to now hajaniandikia wala kunipigia na hajajibu meseji nilizomtumia ....i mean sijamuona online toka aondoke
 
Kama ni hivyo ponguza kugonga nje basi na wewe aahhh hivi una mke au???
 
Kama ni hivyo ponguza kugonga nje basi na wewe aahhh hivi una mke au???
sina but mambo kama haya hutokeaga na hata huyo msichana naye hajaolewa bado but hayuko ready for anything
 

my be Ivunga he is Good looking man and the girl want to keep the baby lol ( keep the good genes)
hahahahah lol

hahaah lol
lakini labda huyo dada she is just freeking out
labda hata hana mimba lol

Ivunga ulifungulia maji kwenye ndoo au ulisogeza ndoo yaka mwagika nje..??

maana yale maji matakatifu yanatakiwa yatoke kwa kasi ya haraka sana..
na yawe active ku swim ama sivyo hana kitu,,

kwa hiyo kama hata ulivuta nje kidogo tu basi hana mimba..
 
Thanks mkuu... lakini nijuavyo mimi hata kama ingekua mara ya kumi, ikivuka ujue si yako hiyo.... na kama kweli ilivuka ina maana hukusense anything?
 

mimi kila kitu nilikimwaga ndani...nilikuwa na uhakika kuwa condom ipo mahali pake na si unajua mzuka tena? na speed ilikuwa ya ajabu nje ndani speed 120..kama andhabu ndio maana condom ilitoka
 
Thanks mkuu... lakini nijuavyo mimi hata kama ingekua mara ya kumi, ikivuka ujue si yako hiyo.... na kama kweli ilivuka ina maana hukusense anything?

mkuu wewe pata picha mwenyewe condom kwanza msichana mwenyewe ndie alizinunua hpili zilikuwa ndogo kwangu na tatu ninauhakika ilitoka wa sababu by the time mzuka ulikuwa ushatupanda mdada makelele mtindo mmoja mwanamme napiga kazi na speed kali sana nje ndani yaani nilikuwa napiga masafa marefu na kitoto ni kiportable kweli sasa nadhani kutokana na ile speed kali ndio maan mpira ukatoka
 
mimi kila kitu nilikimwaga ndani...nilikuwa na uhakika kuwa condom ipo mahali pake na si unajua mzuka tena? na speed ilikuwa ya ajabu nje ndani speed 120..kama andhabu ndio maana condom ilitoka

duuhh haya mkuu..
hakuna break, hakuna full stop ni full acceleration
ooohh dear
Ivunga Ivunga Ivunga..

eehh hiyo speed hatari ..
 


AD, mama kishatishia kuua mtu hivyo anaonyesha wazi kwamba hautaki ujauzito huo. Haya mambo ya minba ni bora kuchukua tahadhari mapema maana mama anaweza kutoziona siku zake akamjia juu Ivuga kwamba hazioni siku zake ndiyo hapo Ivuga atamjibu akazitafute kwenye kitanda (kama ilikuwa kitandani maana siku hizi kuna mikao ya kila aina) walichonanihii. Mzima lakini AD? Miye poa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…