wakuu kama siku tatu hivi zimepita kuna mwanamke ambaye nilikuwa nawasiliana naye.Najuzi usiku akanialikwa kwake nikaenda usiku na tukapiga stori na nikalala kwake hadi asubuhi,kama mida ya yaa 12 asubuhi nikaamka nikaondoka zangu..mchana wote tukawa tunawasiliana vizuri tu.. na asubuhii ya siku ya pili yule mdada akanipigia simu asubuhi kama saa nne kwa sababu alikuwa anasafiri na flight yake ilikuwa ni saa sita akawa amekasirika ananitukana ,akaniambia kuwa niliacha condom ndani yake wakati tuna do,lakini mimi nakumbuka wakati tuna do nilijishtukia condom haipo nikadhani imepasuka ,sasa tishio ni kuwa kama akipata mimba atanitafutia watu waje kuniua na anadai alikuwa kwenye siku zake ...mpaka sasa hivi sijui bado nifanyeje.
na hii ndio meseji aliyinitumia kabla ya kunipigia simu na kutishia kuniua:
""Omg, man, I'm so angry with you!!! You left a condom inside me!!! What have you been thinking of??? And which one was it? I hope not the one you cumed with??? Cuz if it's the last one, you could get me pregnant!!! Why didn't you tell me it happened?!!!! It's was so ****ing selfish of you... Omg, I'm gonna cry now... You f***d me and left a condom inside me!!! F**!!! Man, it's sooooooo very bad!!!'""
na ni kweli iliyobaki ndani ndio hiyo ambayo mimi nilindani imepasuka