Jamani mi ni kijana wa miaka 18 tatizo langu ni kwamba nimekuwa nikishindwa kuongea maneno kwa mtiririko nimekua nikiongea huku nikiacha maneno mengine mara naanzia kati sentensi ninazoongea hazieleweki hivyo naomba mnisaidie kama kuna tiba mbadala ili niondokane na hili tatizo ambalo limekua likinikosesha amani hasa tukiwa na vijana wenzangu