Nisaidieni jamani

Nisaidieni jamani

SunStrong

Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
56
Reaction score
3
Guys, miaka mitatu sasa imepita nimekuwa nikisikia maumivu katika mguu wa kushoto, kuanzia kwenye paja la kushoto mpaka kwenye kisigino. Mguu unapata moto. Nilifanya procedure zote za kidactari lakini naona bado sijapona. Nilishafanya X-RAY, Scanning lakini hakuna tatizo. Sasa hivi nasikia kichomi upande wangu wa kushoto wa mbavu. Pia na mkono wa kushoto una maumivu kwa mbali na unakosa nguvu. Nikinywa maji mkojo unanibana haraka. Naona jogoo wangu unasinyaa kwa kasi. Sijawahi kufanya tendo la ndoa lakini nahisi sitakuwa na nguvu za kutosha. Can U help me?
 
je unakuwa na kiu cha maji kila wakati?
jinsi ulivyojieleza kwa kifupi, unaweza kuwa una kisukari (diabetes) cha muda mrefu.
na sasa unapata complications za diabetes.... diabetic neuropathy.
sasa nenda clinic/dispensary/hospitali na upatiwe vipimo vifuatavyo,
Fasting blood sugar au random blood sugar (kipimo cha damu)
Urinalysis (kipimo cha mkojo) waone kama hauna sukari kwenye mkojo.
vipimo hivi muhimu vitaonyesha kama una kisukari au hapana, then daktari wako atakupatia dawa za ku control hicho kisukari
na pia dawa za kurudisha uwezo wa peripheral nerves
na pia ushauri kuhusu chakula cha aina kipi utumie na kipi usitumie au kula kwa uchache sana
I hope this helps!
 
Back
Top Bottom