Nisaidieni jamani!!!

Nisaidieni jamani!!!

cuchi

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2012
Posts
218
Reaction score
74
Habarini wakuu!!!
Nasumbuliwa na maradhi nisiyoyaelewa, tangu juzi usiku nasikia maumivu makali sehemu zangu zote za siri ila ni maeneo ya nyama ya nje na sehemu inakopita chupi kiasi cha kwamba hata nikipagusa tu panama.Na maumivu sehemu ya kukojolea ka kichomi hv mi hata sijielewi.
NIMEPIMA SINA UTI NA SIJAFANYA MAPENZI KWA MIEZI SITA!!!NISAIDIENI WAKUU NAUMIA
 
unahitaji kufanya mapenzi haraka iwezekanavyo mwone Bishanga kwa maelezo zaidi
 
Last edited by a moderator:
unahitaji kufanya mapenzi haraka iwezekanavyo mwone Bishanga kwa maelezo zaidi

Hahaha ingawa naumwa imenibidi tu nicheke!! nimesema sijafanya mapenzi muda mrefu coz wadau wengine wangejua hyo ndo sababu
 
Last edited by a moderator:
inflamation hiyo alergic demartitis jaribu kuacha kutumia chupi zisizo za cotton tumia cotton tu. Acha skin tight. Pia jaribu kutumia antifungal ya kupaka aina ya miconazole upake vizuri sehemu zote... pm usipopata nafuu
 
Habarini wakuu!!!
Nasumbuliwa na maradhi nisiyoyaelewa, tangu juzi usiku nasikia maumivu makali sehemu zangu zote za siri ila ni maeneo ya nyama ya nje na sehemu inakopita chupi kiasi cha kwamba hata nikipagusa tu panama.Na maumivu sehemu ya kukojolea ka kichomi hv mi hata sijielewi.
NIMEPIMA SINA UTI NA SIJAFANYA MAPENZI KWA MIEZI SITA!!!NISAIDIENI WAKUU NAUMIA
in red, why?
 
Back
Top Bottom