Nisaidieni jamani

Yaap yaani unaunganisha matokeo. Mfano kama cheti cha mwanzo ulikuwa na crdt 2 na baada ya kurst ukapa crdt 1 unaziunganisha unakuwa umequalify kust VI
 
kisw-B
math-D
civ-E
his-E
geo-E
bios-F na matokeo ya mwanzo nlkuwa na D 5 na F 2 yan F-za physics na history hapo nitaenda wap jamani
 
We nawe acha kupanik kwani private schools hamna?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…