Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napenda sana kupika chapati lkn haziwi laini nifanyeje ziwe laini??
Mimi natumia maji ambayo ni ya uvuguvugu zaidi kiasi. Lakini hakikisha unachekecha unga (inaongeza hewa), kisha pasha mafuta kiasi yawe ya moto sana (test kwa kudondosha unga kidogo utaona unachemka kwa mapovu na kupotea haraka). Hayo mafuta ya moto mimina kwenye unga huku unavuruga na kisu ama uma. Kisha rub-in (pasua vidonge vya mafuta kwa kusugua kwenye ncha za vidole, sio mkono huku ukinyanyua juu na kuacha utiririke(unaongeza hewa zaidi).
kanda unga kwa maji ya uvuguvugu zaidi na kata madonge madogo madogo. Sukuma na kupakaa mafuta kidogo kisha vuta vuta kupata mdabwada. Kamata ncha moja hewani na kuanza kuikunja mduara. Ukimaliza yote anda kusukuma na kuchoma.
Shosti hebu jaribu kukandwa kwa maji baridi then uje uniambie au hata baada ya kuzungusha ile mviringo weka katika mfuko safi then hifadhi kwa freezer next day toa wacha iyayuke then sukuma uchome utakuja kuniambia super soft chapati
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
King'asti asante mwaya. Mi huwa napika chapati zangu zenye layers nzuri ila kuna mahali nilikula chapati tamuuu. Ukila zinakuwa na ukavu fulani hivi. Leo nimepasha mafuta kama ulivyosuggest zimetoka nzuri zaidi ya siku zote. Layers na ukavu juu. Alafu nimekanda kwa maji baridi kama alivyosema farkhina . . .nadhani hivi ndio ntakuwa napika kwanzia sasa hivi.
LIKE LIKE kwenu.
Shosti hebu jaribu kukandwa kwa maji baridi then uje uniambie au hata baada ya kuzungusha ile mviringo weka katika mfuko safi then hifadhi kwa freezer next day toa wacha iyayuke then sukuma uchome utakuja kuniambia super soft chapati
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kkkkkl dah! Nimechekaje!
Nalog off
Umeona eh!Hahahahahaaaaa
Umeona eh!
Nalog off
Nakwambia yaani nimejikuta nachekeka mpaka dogo kaamka.
Nalog off
Subir ufungashiwe mgongoni lazma uombe pooo lol