Nisaidieni jinsi ya kubadilisha jina!

mr iko press

Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
56
Reaction score
3
Naamini mko poa wana jf.. mimi ni mwanafunzi nipo kidato cha sita, Naomba anayejua hatua za kubadilisha jina anisaidie kwani hli ninalotumia nilipewa nilporudia darasa la tano, natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu
 
Naamini mko poa wana jf.. mimi ni mwanafunzi nipo kidato cha sita, Naomba anayejua hatua za kubadilisha jina anisaidie kwani hli ninalotumia nilipewa nilporudia darasa la tano, natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu


Jina hubadilishwa kwa kuandika na kusaini nyaraka inayoitwa Deed Poll.

Deed Poll huandaliwa na Wakili.

Ni-PM ili nikusaidie mpaka usajili.
 
samahan xan mkilman, mm hapa jf ndo nimeingia leo hvyo cjailewa vzur, ningeomb uniandikie no yako hapa ili nikutaete, nisaidie ndugu yangu
 
Mmh kulikuwa na ulazima gani kutaja elimu yako
 
ivi ukirudia darasa huwa wanabadilisha jina? sijawahi sikia kwakweli.

sasa na vyeti vya form four tayari vina jina jingine . majanga remix
 
miaka hyo ya 2006 nilrudia ndo wakanipa jna lingne so nataka vyeti vyangu vyote vbadilishwe
 
miaka hyo ya 2006 nilrudia ndo wakanipa jna lingne so nataka vyeti vyangu vyote vbadilishwe

Ok ushauri mzuri naokupa wala usibadilishe ukiwa hutaki stress ila km unataka stress na nyumbani pesa zipo badilisha ila utasumbuliwa sana lkn mwisho watabadilisha hakuna kinashondikana kwenye nchii hii iliyojaa mafisadi ila km hutojali tulia tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…