mr iko press
Member
- Jan 3, 2015
- 56
- 3
Naamini mko poa wana jf.. mimi ni mwanafunzi nipo kidato cha sita, Naomba anayejua hatua za kubadilisha jina anisaidie kwani hli ninalotumia nilipewa nilporudia darasa la tano, natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu