Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia marketing strategy based on dominance. Nicher follower challenger au leaderWakuu habarini za muda huu, naombeni mnisaidie namna ya kufanya marketing kwenye biashara ili nipate wateja kwenye biashara yangu. Nielekezeni ni nini nifanye.
Asanteni.
Asante mkuu ngoja niipitie hiiJinsi ya kuandika Tangazo lako la biashara mtandaoni
ZINGATIA: Hakuna mafanikio yanayokuja kiurahisi, utahitaji juhudi, muda, uvumilivu na kujifunza Zaidi mpaka kupata matokea hivyo usitegemee kupata matokeo ya haraka unapoanza kufanya ishu yoyote mtandaoni. Haya tuangalie njia hizi..... 1. Uhandishi wa maudhui mtandaoni (Online Content...www.jamiiforums.com
Unatumia mbinu gani kujitofautisha kwenye biashara yako?
Asante mkuu ngoja niipitie hiiJinsi ya kuandika Tangazo lako la biashara mtandaoni
ZINGATIA: Hakuna mafanikio yanayokuja kiurahisi, utahitaji juhudi, muda, uvumilivu na kujifunza Zaidi mpaka kupata matokea hivyo usitegemee kupata matokeo ya haraka unapoanza kufanya ishu yoyote mtandaoni. Haya tuangalie njia hizi..... 1. Uhandishi wa maudhui mtandaoni (Online Content...www.jamiiforums.com
Jinsi ya kuandika Tangazo lako la biashara mtandaoni.
Asante mkuu nakupmMkuu anza kuwekeza mtandaoni.
Jifunze jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii katika biashara yako.
Kama kweli unayo nia ya dhati na hiyo saluni kuwekeza muda na pesa kidogo ili kuanza kuitambulisha mtandaoni litakuwa ni jambo la kawaida.
Tunaweza wasiliana kama utahitaji kuandaliwa muongozo hatua kwa hatua jinsi ya kuanza, kuanzia kufungua kurasa za biashara mtandaoni, kuzikuza na jinsi ya kuwafikia wengi zaidi.
Sante mkuu Nieleweshe mkuu nipe muongozo jinsi ya kutumiaTumia marketing strategy based on dominance. Nicher follower challenger au leader
Yaan apo tutarud darasani wewe google hizo utapata wangaSante mkuu Nieleweshe mkuu nipe muongozo jinsi ya kutumia
Sawa nashkuru Sana mkuuYaan apo tutarud darasani wewe google hizo utapata wanga
Pamoja sana mkuu. Shukrani sana.Mr. Purpose Long time brother.....P1