Nisaidieni jinsi ya kuweka pesa TICKMILL

Nisaidieni jinsi ya kuweka pesa TICKMILL

ACHA KUPOTOSHA WATU WAJE KUCHEZA KAMALI KWA BIASHARA UCHWARA YA KITAPELI SABABU TU NAWE NI MIONGONI MWA MAWAKALA WANAOLIPWA PESA KUWARUBUNI WATU ILI WANASE KWENYE 18 ZENU.

Baada ya kufuatilia kwa mda mrefu mjadala wa FOREX humu ndani na pamoja na kufanya utafiti sana na kujifunza,nimegundua yafuatayo
1-FOREX INALIPA
2-FOREX INAHITAJI SHULE HASWA
3-FOREX INAWEZA KUWA MKOMBOZI WA TATIZO LA AJIRA TANZANIA
4-FOREX SIO KAMARI
5-FOREX HAITAKI MTU MWENYE PUPA
6-FOREX SIO SEHEMU YA KUPATA PESA ZA HARAKA
7-FOREX KWA KIASI KIKUBWA LAZMA UWE NA ANGALAU ELIMU YA SEKONDARI

Sasa kwa wale wazoefu naombeni namna ya kuweka pesa TICKMILL or FXTM,Hiyo attachment ni account yangu ya bonus kwa Templer,nimeifikisha hapo ndani ya wiki moja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ye ni wakala kivipi??na akipata hao watu analipwaje??aisee kuna viumbe wagumu kuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
NIKIINGIA NA ID FEKI HUMU AFU NIKAANDIKA FAIDA TUPU ZA KUWEMO KATIKA BIASHARA YA FOREX WAKATI HUO HUO MIMI NI MUHAMASISHAJI WA KUTANGAZA BIASHARA NA KUTAFUTA WATEJA ZAIDI ILI FOREX IWE PANA HASA KWA KUWA MAARUFU TOKANA NA WATEJA WENGI.

UTANIJUAJE KUWA MIMI NI WAKALA NAKATI ID YANGU NIMEJIANDIKA WW1?

"VYA KUAMBIWA CHANGANYA NA AKILI ZAKO ZA KUZALIWA"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NIKIINGIA NA ID FEKI HUMU AFU NIKAANDIKA FAIDA TUPU ZA KUWEMO KATIKA BIASHARA YA FOREX WAKATI HUO HUO MIMI NI MUHAMASISHAJI WA KUTANGAZA BIASHARA NA KUTAFUTA WATEJA ZAIDI ILI FOREX IWE PANA HASA KWA KUWA MAARUFU TOKANA NA WATEJA WENGI.

UTANIJUAJE KUWA MIMI NI WAKALA NAKATI ID YANGU NIMEJIANDIKA WW1?

"VYA KUAMBIWA CHANGANYA NA AKILI ZAKO ZA KUZALIWA"

Sent using Jamii Forums mobile app
Dude,we are living in 21st Century.Fanya tafiti,usipende kuambiwa.Endelea kutumia simu yako na bando lako kuangalia mange kasema nini na kudownload video za ngono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NIKIINGIA NA ID FEKI HUMU AFU NIKAANDIKA FAIDA TUPU ZA KUWEMO KATIKA BIASHARA YA FOREX WAKATI HUO HUO MIMI NI MUHAMASISHAJI WA KUTANGAZA BIASHARA NA KUTAFUTA WATEJA ZAIDI ILI FOREX IWE PANA HASA KWA KUWA MAARUFU TOKANA NA WATEJA WENGI.

UTANIJUAJE KUWA MIMI NI WAKALA NAKATI ID YANGU NIMEJIANDIKA WW1?

"VYA KUAMBIWA CHANGANYA NA AKILI ZAKO ZA KUZALIWA"

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,basi umeshinda wewe ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lesson 1: Introduction to Forex

• What is Forex?
• Currency Pairs and their type
• Forex trading session.
• Lots
• Pips
• Pip Values
• Buy & Sell
• Bid & Ask
• The Spread

Lesson 2: Buying and Selling
• Introduction to Mt 4.
• Placing an Order
• Order Types
• Profit and Loss
• Calculating P&L
• Swaps
• Margin
• Calculating Margin Requirement

Lesson 3: Chart Analysis and Price action.
• Technical Analysis
• Charts
• Bar Charts
• Candlestick Charts
• Line Charts
• Bar Chart
• Candlestick Partners
• Eight Types of Candlestick Patterns
• Nine type of chart patterns

Lesson 4: Technical Indicators
• Basic Concepts
• Support & Resistance
• Trending Markets
• Ranging Markets
• Technical Indicators
• What Are Technical Indicators?
• Leading vs. Lagging
• Trend Lines
• Channels
• Moving Averages
• Bollinger Bands
• Fibonnaci Retracement

Lesson 5: Fundamental Analysis

• What is Fundamental Analysis?
• Major Fundamental Indicators
• Interest Rate Differentials
• Growth Rate Differentials
• Political Influences
• Geopolitical Events
• Commodity Prices
• Mergers & Acquisitions
• Other Economic Indicators
• Unemployment
• Retail Sales
• Industrial Production
• Consumer Price Index (CPI)
• Tips to Trading with Fundamentals

Lesson 6: Trading Philosophy & Money Management
• Money Management
• Capital Risk
• Profit Taking and Stop Loss Orders
• Margin


Kwa yeyote anayehitaji mafunzo haya aje inbox
 
  • Thanks
Reactions: MNG
Lesson 1: Introduction to Forex

• What is Forex?
• Currency Pairs and their type
• Forex trading session.
• Lots
• Pips
• Pip Values
• Buy & Sell
• Bid & Ask
• The Spread

Lesson 2: Buying and Selling
• Introduction to Mt 4.
• Placing an Order
• Order Types
• Profit and Loss
• Calculating P&L
• Swaps
• Margin
• Calculating Margin Requirement

Lesson 3: Chart Analysis and Price action.
• Technical Analysis
• Charts
• Bar Charts
• Candlestick Charts
• Line Charts
• Bar Chart
• Candlestick Partners
• Eight Types of Candlestick Patterns
• Nine type of chart patterns

Lesson 4: Technical Indicators
• Basic Concepts
• Support & Resistance
• Trending Markets
• Ranging Markets
• Technical Indicators
• What Are Technical Indicators?
• Leading vs. Lagging
• Trend Lines
• Channels
• Moving Averages
• Bollinger Bands
• Fibonnaci Retracement

Lesson 5: Fundamental Analysis

• What is Fundamental Analysis?
• Major Fundamental Indicators
• Interest Rate Differentials
• Growth Rate Differentials
• Political Influences
• Geopolitical Events
• Commodity Prices
• Mergers & Acquisitions
• Other Economic Indicators
• Unemployment
• Retail Sales
• Industrial Production
• Consumer Price Index (CPI)
• Tips to Trading with Fundamentals

Lesson 6: Trading Philosophy & Money Management
• Money Management
• Capital Risk
• Profit Taking and Stop Loss Orders
• Margin


Kwa yeyote anayehitaji mafunzo haya aje inbox
Itachukua semister ngap kumaliza hii course
 
Baada ya kufuatilia kwa mda mrefu mjadala wa FOREX humu ndani na pamoja na kufanya utafiti sana na kujifunza,nimegundua yafuatayo
1-FOREX INALIPA
2-FOREX INAHITAJI SHULE HASWA
3-FOREX INAWEZA KUWA MKOMBOZI WA TATIZO LA AJIRA TANZANIA
4-FOREX SIO KAMARI
5-FOREX HAITAKI MTU MWENYE PUPA
6-FOREX SIO SEHEMU YA KUPATA PESA ZA HARAKA
7-FOREX KWA KIASI KIKUBWA LAZMA UWE NA ANGALAU ELIMU YA SEKONDARI

Sasa kwa wale wazoefu naombeni namna ya kuweka pesa TICKMILL or FXTM,Hiyo attachment ni account yangu ya bonus kwa Templer,nimeifikisha hapo ndani ya wiki moja tu
Kwahio kufikisha dollar 150 kwa week ya kwanza umejiona fundi sio, yajayo yanafurahisha!!!
 
Baada ya kufuatilia kwa mda mrefu mjadala wa FOREX humu ndani na pamoja na kufanya utafiti sana na kujifunza,nimegundua yafuatayo
1-FOREX INALIPA
2-FOREX INAHITAJI SHULE HASWA
3-FOREX INAWEZA KUWA MKOMBOZI WA TATIZO LA AJIRA TANZANIA
4-FOREX SIO KAMARI
5-FOREX HAITAKI MTU MWENYE PUPA
6-FOREX SIO SEHEMU YA KUPATA PESA ZA HARAKA
7-FOREX KWA KIASI KIKUBWA LAZMA UWE NA ANGALAU ELIMU YA SEKONDARI

Sasa kwa wale wazoefu naombeni namna ya kuweka pesa TICKMILL or FXTM,Hiyo attachment ni account yangu ya bonus kwa Templer,nimeifikisha hapo ndani ya wiki moja tu
Mkuu account yako ya tarehe 14 december leo tar 06 Jan vp kuna 0.00 au umeendelea kidogo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom