Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Mkuu huna taarifa acha kubwabwaja mropoko hv unajua kuna watu wanapiga kweli bingo kwenye forex trading, sijui kibongo ni nani maana wanaopiga pesa nyingi lazima wawe na mzigo mrefu ila kiafrica cheki top ten richest youngest south africans utaona kuna dogo anaitwa Sandile, sahv ana miaka km 24 hv na amepata utajiri wake kwa forex trading na alishafanya mahojiano na hadi CCTV kuelezea mafanikio yake we bado unakaa "Acha utapeli, sijui 18 zenuuu, " haya kaa hivyo hivyo, UDHAIFU WAKO SIO UDHAIFU KWA WOTEACHA KUPOTOSHA WATU WAJE KUCHEZA KAMALI KWA BIASHARA UCHWARA YA KITAPELI SABABU TU NAWE NI MIONGONI MWA MAWAKALA WANAOLIPWA PESA KUWARUBUNI WATU ILI WANASE KWENYE 18 ZENU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app