lidoda
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 641
- 574
naishukuru sana jf na zaidi zaidi jukwaa hili. Nashukuru sababu jf imenisidia kupata mke na tunatarajia kupata tunda letu la ndoa hivi kalibuni. Sasa kwa kutoa shukrani na kumbukumbu ya kumpa jina mtoto wetu tumefikiria majina yafuatayo. Kama atakuwa ni mtoto wa kiume tutampajina jamii na kama atakuwa ni wa kike tutampa jina jamia.
Hata hivyo tunatoa fursa ya wanajamii kupendekeza majina ya mtoto mtarajiwa.
Nawasilisha
Hata hivyo tunatoa fursa ya wanajamii kupendekeza majina ya mtoto mtarajiwa.
Nawasilisha