tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Mkuu miaka hii kuna kuoa na kuolewa kweli?Kwani hawawezi kuolewa?
It is not easy kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu miaka hii kuna kuoa na kuolewa kweli?Kwani hawawezi kuolewa?
Ila waoji hamna waolewaji hamna kazi tupuMkuu miaka hii kuna kuoa na kuolewa kweli?
It is not easy kaka
Waende zanzibar watapata kazi haraka kule ndio kazi zao hzo.Me pia nina wadogo zangu wawili wa kike yani wamekata tamaa kabisa! Sujui nawasaidia vipi?
Wamesoma accountant na Hotel operations
Aiseeeee, lakini kuna kaukwel kwa mbaaaali...Mashauri pia kwa umri huo akipata mme bora aolewe na asiwe feminist
Mwanamke aliumbwa kuzaa na kulea familia mengine yote atayatekeleza mme.
Wafungulie account kule wakati wakiendelea na option zingine piaHawajawahi mkuu,ndo nipo napambana wawe na account huko.Kiufupi ni wamekata tamaa kiasi kwamba hawajishughulishi kwa kitu chochote
Maskini[emoji3064]Mnaotafuta Kazi humu muwe makini
Kuna dada juzi ametelekezwa ofisini kwangu
Wamemchukulia simu na hela
Anasema aliweka Tangazo la kutafuta kazi, mtu akamtafuta akamwambia kuna kazi eneo fulani aje na kiasi kadhaa cha kumlipa ya udalali
Akafika maeneo ya ofisi yangu akamwambia ni kwa Baba yake , hivyo anafanya mawasiliano na baba yake, aje wasaini mkataba .
Dada akakalishwa Kuna muuza soda pembeni, Yule jamaa akamwomba simu Manake ya kwake imeisha charge,
Alivyokata kona hajaonekana tena, akamwacha mdada wa watu anashangaa shangaa hapo
😁😁😁😁💔we jamaa ushauri wako bhanaMashauri pia kwa umri huo akipata mme bora aolewe na asiwe feminist
Mwanamke aliumbwa kuzaa na kulea familia mengine yote atayatekeleza mme.
Hapo wanakosea sana....Hawajawahi mkuu,ndo nipo napambana wawe na account huko.Kiufupi ni wamekata tamaa kiasi kwamba hawajishughulishi kwa kitu chochote
Kwan kuolewa ni ajira? Anaweza kuolewa na mambo yakawa magumu zaid inategemea tu na huyo atakayemuoa.Kwani hawawezi kuolewa?
Mambo yanakuwaje magumu zaidi wakati hapo kazi ni kugegedwa tuu huku mume akihangaika kuleta mahitajiKwan kuolewa ni ajira? Anaweza kuolewa na mambo yakawa magumu zaid inategemea tu na huyo atakayemuoa.
Na itakuwa rahisi sana kwake kwenda pale Asha Rose Migiro siku za interview.Pale udom kwenye zile cafeteria hawezi kukosa kaz huku akisubiri michongo mingne
Kukandwa pale PSRS nd'o suluhisho la ajira kwa watu ambao hawana connection.Hawajawahi kujaribu kwa wakandaji(PSRS)?
Sasa watapataje job bila kujishughulisha au kupambana kwa namna yoyote?Hawajawahi mkuu,ndo nipo napambana wawe na account huko.Kiufupi ni wamekata tamaa kiasi kwamba hawajishughulishi kwa kitu chochote