Nisaidieni kupanga kikosi cha Simba

wacha nijarib.na mm kupanga changu
1.aveva
2.kaburi
3.chuchu Hans pope
4.manara mzungu wa Randale
5.mkunde
6.
7.
8.
9.
10.mafugo
11.okwi the govinda

Hapo kwa Okwi kwan analo bado? waganda huwa hawalitoi eti
 

Simba imechukua makombe matatu Mwaka Jana,
 
Hapo kwa Okwi kwan analo bado? waganda huwa hawalitoi eti

Wahaya Na Wahehe Huwa Wanayatoa Pia " MAGOVINDA " Yao? Unakimbilia Mbali Nchini Uganda Kuwasema Akina Okwi Na Kiiza Kuwa Ni " Magovi " Huku Ndugu Zako Hapa Hapa Nyumbani Hayo Makabila Mawili Tajwa Hapo Juu Wanaume Wao Huwa Hawatairi Labda Hawa Wajanja Tulionao Humu Mijini.
 
Mkuu sub watakuwepo,
1. manyika jr.
2. "fundi" awadh juma
3. ibrahimu ajibu a.k.a mzee wa ma hat-trick
4. musa hassan mgos a.k.a kiboko ya mabeki wa timu za dar
5. "mwili jumba" elias maguli
 
mbona sioni mchezaji hapo,bora hats like ligolikipa la Uganda life Abel Dhaira,MTU amfundishe Christiano Ronaldo kufunga magoli halafu aje kucheza Leo,maajabu ya wazee Wa chapati na kurecycle mnatsha

Mkuu katika Quite yangu hapo nimemtaja Ronaldo>?

Mbona unakurupuka mkuu?

Mafuriko yamekusomba nini?
 
Mkuu sub watakuwepo,
1. manyika jr.
2. "fundi" awadh juma
3. ibrahimu ajibu a.k.a mzee wa ma hat-trick
4. musa hassan mgos a.k.a kiboko ya mabeki wa timu za dar
5. "mwili jumba" elias maguli
Hapo kwenye 4 Yanga inawahusu sana, wanamjua vizuri sana Mgosi.
 

watanzania wote wanatoa bana,mkuu acha hzo.
 

Nakuongezea benchi umemsahau kiongera
 
Nakuongezea benchi umemsahau kiongera

Huyo Tumeshamtema Mkuu au Hujui? au Wewe Siyo Simba Mwenzetu Nini? ( Kidding ) Tu Usijali. Kiongera Bado Hajawa Fit ILA Tunataka Kuwapa " Wazee Wa Mafuriko " Kwa Mkopo Ili Awasaidie Katika Mechi Yao Dhidi Ya Gor Mahia Tarehe 18 July 2015 Taifa.
 

Tusiende mbali sana,huyo kocha wenu kutoka Uingereza atadumu ndani ya miezi 2?hayo mengine tuachane nayo kwanza maana sijasahau mlivyokuwa mkitusumbua na akina Kiongera,Sserenkuruma wenu msimu uliopita!
 
Tusiende mbali sana,huyo kocha wenu kutoka Uingereza atadumu ndani ya miezi 2?hayo mengine tuachane nayo kwanza maana sijasahau mlivyokuwa mkitusumbua na akina Kiongera,Sserenkuruma wenu msimu uliopita!

Kwa hilo kosi alilopanga Mkuu GENTAMYCINE hapo juu, hata wewe tukikukabidhi timu kila mechi utakua unatoka na ushindi usiopungua goli 3.. Sasa imagine "Mtalamu" Kerr mwenye leseni ya juu kabisa ya ukocha duniani, ambapo yupo daraja 1 na kina Mourinho, Jurgen Klopp, Masimiliano Aregri, Bielsa, n.k anakamata hilo likikosi la maangamizi, si tutakua tunashinda goli si chini ya 8?!
Na Agosti Ifike Haraka.
 
Last edited by a moderator:
Huyo Tumeshamtema Mkuu au Hujui? au Wewe Siyo Simba Mwenzetu Nini? ( Kidding ) Tu Usijali. Kiongera Bado Hajawa Fit ILA Tunataka Kuwapa " Wazee Wa Mafuriko " Kwa Mkopo Ili Awasaidie Katika Mechi Yao Dhidi Ya Gor Mahia Tarehe 18 July 2015 Taifa.

Me simba wa kugalagala kabisa,kiongera bonge la player ok sio mbaya......simba bado 8 hatuna mkuu au umeshasajili always naangalia mapungufu yetu.....t
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…