Nisaidieni madaktari

sha classic

Member
Joined
Feb 11, 2017
Posts
22
Reaction score
44
Mke wangu toka nifanye nae mapenzi hii ni wiki ya pili na nilifanya nae siku ya hatari ila leo kaingia kwenye hedhi maumIVU yalianza baada ya hapo damu nzito misili ya nyama nyama zikawa zinatoka je hiyo ni dalili ya nini naombeni mnisaidie
 
Apime UPT kwanza may be amepata miscarriage. Kama UPT negative atumie dawa za kutumia maumivu na aendelee kufuatilia intensity ya hiyo bleeding.
 
Mke wangu toka nifanye nae mapenzi hii ni wiki ya pili na nilifanya nae siku ya hatari ila leo kaingia kwenye hedhi maumIVU yalianza baada ya hapo damu nzito misili ya nyama nyama zikawa zinatoka je hiyo ni dalili ya nini naombeni mnisaidie
Kwanza uelewe haya:
1.Mimba hutungwa around siku ya 14 tangu hedhi iliyopita
2.Hedhi nayo hutoka around 14 baada ya ule wakati ambao ni mwafaka mimba kutungwa yaani siku ya 14
3.Pia mimba inaweza kutungwa na ikaharibika around siku za hedhi tarajiwa kama mimba isingetungwa ila mara nyingi sana haingunduliki maana inatoka kama hedhi ya kawaida
4.Mimba ya wiki mbili haiwezi kuwa na nyama nyama ila inaweza kuwa tu damu kidogo kambe bonge ila si rahisi hata kugundua mwanamke
Nionavyo mimi,pengine kuna shida ya hedhi inayosababisha damu kuganda ambayo imejotokeza tu by coinsidence
Ushauri kapime mimba na pia je mkeo huwa hasikii maumivu wakati wa hedhi?
Mpe pole mke wetu
 
Tumbo linamuuma sana tofauti na blead zote alizowahi kupitia
 
Doctors naomba kuuliza...
Ni tatizo gani linalosababisha shahawa (mbegu) za mwanamme kurudi nje badala ya kwenda ndani ukeni?
Maana kwa hali hii ni ngumu kupata mimba!
Wamejaribu style tofauti nyingi tu lakini shahawa zote zina rudi nje taratiiibu...na kumwagika zikiwa za moto kabisa!
Naomba msaada wenu!
 
Mkuu, kiuhalisia ili mimba itungwe sio lazima uone shahawa zimeingia ndani ya uke, unaweza ukafanya mapenzi meanamke akiwa juu ya mwanaume na mimba ikatungwa. Hivyo hiyo Hali ya seamens kutoka ni kawaida. Hapo Kuna tatizo jingine linalosababisha mimba isitungwe. Pia inaweza ni tatizo la kisaikolojia pia
 
Unaishi wapi?
 
Kwa unatakiwa kufahamu hili,mwanamke hana shahawa,anatoa yai ambalo halitoki mbegu za kiume ndo hufuata kwenye mirija inayopokea yai hilo au hizo kama limetoka zaidi ya moja.Mwanamke hutoa ute mweupe mzito kidogo ndani ya mdomo wa ndani wa uke au wengi huita mashavu ambayo mara nyingi hutokea kwa aliyeandaliwa vyema au aliyefika kileleni na ute huwa kama kilainishi huwa unatoka nje au kutolewa na uume wakati wa kuingia na kutoka kwenye zoezi zima la binadamu kujamiiana.
Lingine shahawa za mwanaume ndizo hutoka lakini haina maana mimba haitatungwa,ni lazima ziko mwanamke akisimama au hata akiwa amelala maana baada ya muda zinakuwa nyepesi japokuwa zile mbegu au sperms ambazo ni mamilioni kukimbilia kwenda kwenye shingo ya kizazi na kuelekea kwenye mirija kutafuta bahati ya kutubga mimba
Sasa basi hilo lisikupe tabu maana ni jambo la kawaida.
MUHIMU nenda kwa daktari pengine kuna mmoja wenu anashida na ndoo maana mimba haitungwi
 
Kwanza kama anapata bleed zaidi ya week lazima anywe antibiotic kuzuia maambukizi. Mm sio daktari ila tu nimekulia hospitali maana mama yangu alikuwa na dipensary.
 
Kwanza kama anapata bleed zaidi ya week lazima anywe antibiotic kuzuia maambukizi. Mm sio daktari ila tu nimekulia hospitali maana mama yangu alikuwa na dipensary.
Hapo umekosea,usitoe ushauri kwa kitu ambacho huna uhakika,mwenzio anahitaji ushauri sahihi,wakati mwingine kaa kimya kama huna uhakika,samahani lakini
 
Mkuu hapo kwenye saikolojia nna mashaka napo...maana mimba inatakiwa kwa hamu sana@!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…