Nisaidieni mawazo juu ya huyu mke wa mtu

Duh! umemuachia akuzoweeeee hivyo? kwanza kazini kucheka cheka na utani waajabu kama huo haufai,mrudishie hayo mashaka yake mwambie ahsante sana kwa zawadi yako,na punguza ukaribu kuoshewa vikombe na visahani iwe mwisho,
kua na hadhi yakiume usiwe kama arage la Mbeya...
 
Mkuu sikubaliani na wewe, anauhakika gani kwamba mimi au mwanamme mwingine yeyote ndio ntamlizisha?
 

Mlishonyuma: Naona jana ilikuwa turning point, leo sijaletewa chai, na sijamuona, ila yupo.
 
hii ilimtokea jamaa yangu ila yeye alikiri kanyonya tu ukuni but hajaliwa tigo......
 
Kaka kimbia, usithubutu kumkosea aliekuumba, zinaa ni deni na malipo yake ni kwa dada, mke, watoto wako mwenyewe ndio watakao lipa deni hilo.
 
Mwaya wewe ndio kidume cha mbegu; umebarikiwa kuliko wanaume wote. Kula kwa raha zako, tena condom itakipunguzia utamu. Pika peku kijana, nani anauhakika na kesho?

Halafu mmama kakuomba mwenyewe, asije akakudharau bure!

We Kaunga ushauri gani huu? Mumeo akitendewa hivi utafurahi?
 
nimependa tu aina ya uandishi wako....haya mengine uamzi unao mwenyewe
Niliishaamua kabla hayajatokea, sio tu mke wa mtu, NJE YA NDOA YANGU SIENDI.
 
Mpotezee kiongozi , huyo mke wa mtu nahisi ndoa imemshinda, kuwa makini sana si jambo jema kwa allah hata kwa kibinadamu pia..mpotezee kwani ulizaliwa nae, jifanye mikausho mikali kwenda mbele.
 


Hebu fikiria mtu unampa ushauri, halafu asubuhi mkionana anakuambia imeshindikana!

Halafu, toka lini wanawake wanajichafua wanapoota wame-do? naomba kuelimishwa. Vinginevyo umekutana na mwongo na inawezekana unadanganywa sana.

hahisi kuna kauongo yako.
 
I remember alisema alijikuta ameloana, nyie mnajijua zaidi, hope we ni mwanamke.of course initiative yake yote ya kutaka tuingiliane ni uongo wa mapenzi. sooooo uko sawa.
 
Mwaya wewe ndio kidume cha mbegu; umebarikiwa kuliko wanaume wote. Kula kwa raha zako, tena condom itakipunguzia utamu. Pika peku kijana, nani anauhakika na kesho?

Halafu mmama kakuomba mwenyewe, asije akakudharau bure!

nahisi we umemuelewa better kuliko sisi lol
 

Hehehehehe maneno yote hayo ni baba na mwana au kuna la zaidi ?......Yangu macho tu PakaJimmy ....

.kabla ramadhani kwisha ntakutafuta nkakupe ofa ya uji wa shanga.....mwezi huu biya hapana hata Asprin na Kaizer wamejiuzulu kwa mda !
 
Last edited by a moderator:
Hehehehehe maneno yote hayo ni baba na mwana au kuna la zaidi ?......Yangu macho tu PakaJimmy ....

.kabla ramadhani kwisha ntakutafuta nkakupe ofa ya uji wa shanga.....mwezi huu biya hapana hata Asprin na Kaizer wamejiuzulu kwa mda !

Khaaaa! Yaani sweetlady mi na Asprin ndo tumeshindikana au ni nini nlol

Hommie hebu nipe mwingozo hapo!
 
Last edited by a moderator:
Wewe sangara , wewe kwanza hauko serious na kazi yako iliyokuweka hapo ofisini, vilevile hauko serious na ndoa pamoja na maisha yako, HIvi unataka mpaka YESU akutokee akwambie live?????? Wewe mwenyewe umeshasema Mke wa mtu!!!! Hivi ungekuwa wewe ndio mume wake huyo dada then unasemwa hivyo ungejisikiaje???

Pili unauhakika gani kama huyo dada haridhishwi pengine lenyewe ni lijihuni tu linataka wanaumekwanguvu.

Fuata kilichokupeleka hapo kazini achana na mambo ya tamaa utakosa kazi kwa sababu za kijinga jinga utese watoto bure. Mwanamke ambaye si wakwako hawezi kukuendesha hovyo hovyo. wewe ndo unayemuendekeza kama ukiwa serious atakuheshimu,

Fanya kazi achana na mambo hayo jali maisha yako na familia yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…