Nisaidieni mawazo tafadhali niufate ushauri wa huyu Mchungaji au niuache?

Nisaidieni mawazo tafadhali niufate ushauri wa huyu Mchungaji au niuache?

opondo

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2017
Posts
526
Reaction score
1,321
Habari.

JF imekua ni mwalimu wangu tokea nimeanza kuijua, naelewa humu ndani kuna watu wamepitia mengi sana watanipa ushauri ambao utanijenga Mimi kijana wao.

Imepita mwaka sasa tokea ili swala limetokea nilipokua chuo naombeni ushauri wenu kutokana na experience yenu ambayo mmeshapitia.

Ilikua ni jumamosi nimetoka kanisani nilikua nimelala hostel nikijiandaa kurudi mafundisho ya jioni (Mimi ni msabato), rafiki yangu tunaesoma nae alikuja kuniamsha nimsindikize sehemu flani kwenye maombi ya mchungaji flani (sitamtaja), nilimbishia nikamwambia Mimi sijawai kuhudhuria sehemu yoyote ya maombezi (kutokana na imani yangu). So alinambia nimsindikize tu, nilimwambia Mimi sitahusika na hayo maombezi yao Mimi nikifika nakaa nje, akasema sawa, kwakua alikua ni mshikaji wangu nikaona aina noma Mimi kumpeleka huko.

Kufika huko kanisani tukakaa nyuma nikiendelea kushuhudia nyimbo za mapambio. Kilichonishtusha ni wale wa Mama waliokua wanaongoza mapambio wamevaa suruari zimebana wana "brichi" kichwani (kwa muonekano ni wamama wasiokua na njaa ni wanene na wameng'aa), nikajisemea kimoyo moyo Mungu yupo hapa kweli?

Nikiwa kwenye mawazo mchungaji akatoka kwenye chumba alichokuepo (ofsini ) akaanza kupoint watu means akikushika lazima uende mbele, alifika mpaka tulipokua tumekaa nyuma kabisa akamgusa mshikaji na Mimi akanigusa (ni lazima uende mbele) Baadae ndio nika notice kwamba wageni woote ilikua lazima uende mbele.

Nikaanza kumlaumu jamaa kwanini kanileta huku kwani kuombewa ni lazima?. Mda huo jamaa yangu anatetemeka akanambia Leo tunadondoka mbele za watu aibu ilioje? Nilitamani niondoke nikaona nikiondoka naweza ambiwa nina pepo la kiburi so nikaamua nikaze tu, kufika pale mbele tukaambiwa tuvue viatu hatuwezi kwenda madhabahuni na viatu.

Kwanini nawaomba nyie ushauri?

Kufika mbele Mchungaji akaanza kuomba (tulikua tumepanga mstarii ) so kila anaeguswa na yule Mchungaji alikua anadondoka huku anapiga yoweee...nikajisemea moyoni daah Leo nimepatikana nitadondokaje mbele ya watu aibu ilioje? Nikiomba namba za binti yoyote aliepo mule atanipa kweli? Fedhea gani hiii? .....nikaanza kujilaumu kwanini nisingerudi kanisani kwenye mafundisho..


Ilifika zamu ya rafiki yangu then huyo mchungaji akaanza kusema "wewe kuna mwanamke umempa mimba na unaikataa?" Yule mwenzangu akajibu ndio (Nilikua najua hiyo issue nikawa najisemea Leo Mchungaji atasema siri zangu zote). Mchungaji akaendelea kumuombea huyo rafiki yangu akagoma kudondoka then akanifikia Mimi.

Akaniuliza maswali jina langu nani n.k then akaniuliza ilo jina ni la ukoo au nimepewa? Nikamwambia ni langu la kizungu tu nimepewa. Niliona YouTube yule mchungaji wa Kenya alivyoumbuliwa na aliekua Mwandishi wa KTN Mohammed Ally ambae sasa ni Mp. So Nilikua makini kujibu swali endapo ningesema ni la ukoo angeanza kunambia Mizimu ya ukoo inanifatilia.

Akanambia nasomea nini Chuo? Nikamwambia Bsc in Education (physics)...akanambia naona ulikua unataka kua engineer lakini kuna vitu vimeekufanya umeenda mbali na lengo lako, binafsi nimesoma PCB so wazo la Kua engineer sikua nalo.

Then akanambia nyumbani kwenu kuna utajiri lakini watu wanafanya chokochoko kuwarudisha nyuma. Mzee wangu ni mtu wa dini sana lakini pia uwezo wa kufanya mambo yake ya maendeleo anao, so nikawa najiuliza huyu pastor anazungumzia utajiri gani?...

Mwisho akanambia anavyoona yeye maana ni nabii kwamba nikisomea mambo ya computer nitafanikiwa sana. Alivyoongea hivyo nikawa attention, nilichaguliwa multiple selection nilichanguliwa Computer and software engeneering lakini sikwenda pamoj na Bsc in education, binafsi nimesoma Education tu lakini ni swala ambalo halipo kabisa moyoni mwangu imenifanya nimalize Chuo na GPA ya kawaida maana sikuwai kupenda hata kwenda darasani.

Baada ya hapo aliniombea nikagoma kudondoka akaamua kuniacha tu kwenye kundi ilo kubwaa hatukudondoka Mimi na mwenzangu tu.

SWALI.

Je katika maisha tunayoishi kuna watu wanapitia msoto mkali kwa sababu wamesomea au wanafanya mambo yasiyokua kwenye fani yao au hatma yao? Future au Fate ya mtu tokea anapozaliwa imeandaliwa? Kwamba utapita hapa then uende pengine au ufanye hichi ili ufanikiwe?
Je maisha ni bahati au kupambana? Au ni lazima nikasomee computer kama alivyosema huyo nabii ndio nifanikiwe?....

Nilishakutana na mtu na yeye anasali sana haya makanisa ya kiroho akasema ananiona mimi mbelenii ni mtu mkubwa sana nikabakia kumcheka.. binafsi sina ninachomiliki lakini moyoni mwangu nina spirit kuubwa sana ya kufika mbali nimekua na imagination nyiingi sana kuhusu mafanikio.

ASANTENI.
 
Wewe sunamwamini Mungu na umeokoka,chukua hatua ya kutafuta uso wa Mungu binafsi ufunge na kuomba utapata uhakika wa hayo /huo unabii ulopewa.Mbona ni rahis sana hiyo ila inataka uingie deep kwa maombi na kufunga,maana ukisema upate ushauri wa watu wengine watakushauri ufanye kama ulivoambiwa ,wengine watakwambia upuuze ila jibu sahihi la uhakika lipo kwa Bwana Yesu.
 
Wewe sunamwamini Mungu na umeokoka,chukua hatua ya kutafuta uso wa Mungu binafsi ufunge na kuomba utapata uhakika wa hayo /huo unabii ulopewa.Mbona ni rahis sana hiyo ila inataka uingie deep kwa maombi na kufunga,maana ukisema upate ushauri wa watu wengine watakushauri ufanye kama ulivoambiwa ,wengine watakwambia upuuze ila jibu sahihi la uhakika lipo kwa Bwana Yesu.
Asante, umenambia jambo la muhimu.
 
Hahahah pole asikuchanganye ila PCB wengi ambao hamkwenda MD mna stress,mwalimu wa Physics lazima upate ajira sema itachelewa tu.
 
Wasabato walivyo strong kwenye Neno sikutegemea jambo Kama hili lingekuhangaisha.


Maisha bwana hayana njia ya moja kwa moja.
Kwamba namna hii ukifanya lazima ufanikiwe! Laa!
Njia za kufanikiwa zipo nyingi sana, lakini kila njia ina wajibu ndani yake.

Hakuna kufanikiwa kokote kusiko husisha wajibu.

Unaweza ukawa una bahati katika maisha lakini ukakosa bidii, hapo kufanikiwa hakutakuwa pafect.

Unaweza kuwa na bidii lakini hauna bahati, napo mafanikio lazima yawe negative.

Lakini pia unaweza kua na bahati na bidii lakini akili ikawa haipo hapo napo mafanikio yatasua sua.

Kwa hio mafanikio lazima ya husishe akili, bidii, bahati nk.

Lakini yote haya nje ya Mungu hayapatikani.

Hayo yakusema kuombewa, kutabiriwa au maono ya wachungaji, katika hali ya kawaida nikupotezeana muda tu nakulemaza akili.
 
Hahahah pole asikuchanganye ila PCB wengi ambao hamkwenda MD mna stress,mwalimu wa Physics lazima upate ajira sema itachelewa tu.
Hahaha mkuu hii profession haipo akilini mwangu kabisa, yaani kuna sehemu natamani nifike lakini nikifikiria ety nikae nisubiri shule niajiriwe sioni kama nitatoboa.
 
Wasabato walivyo strong kwenye Neno sikutegemea jambo Kama hili lingekuhangaisha.


Maisha bwana hayana njia ya moja kwa moja.
Kwamba namna hii ukifanya lazima ufanikiwe! Laa!
Njia za kufanikiwa zipo nyingi sana, lakini kila njia ina wajibu ndani yake.

Hakuna kufanikiwa kokote kusiko husisha wajibu.

Unaweza ukawa una bahati katika maisha lakini ukakosa bidii, hapo kufanikiwa hakutakuwa pafect.

Unaweza kuwa na bidii lakini hauna bahati, napo mafanikio lazima yawe negative.

Lakini pia unaweza kua na bahati na bidii lakini akili ikawa haipo hapo napo mafanikio yatasua sua.

Kwa hio mafanikio lazima ya husishe akili, bidii, bahati nk.

Lakini yote haya nje ya Mungu hayapatikani.

Hayo yakusema kuombewa, kutabiriwa au maono ya wachungaji, katika hali ya kawaida nikupotezeana muda tu nakulemaza akili.
SHUKRANI kiongozi nachukua ushauri wako huu.
 
Habari.

JF imekua ni mwalimu wangu tokea nimeanza kuijua, naelewa humu ndani kuna watu wamepitia mengi sana watanipa ushauri ambao utanijenga Mimi kijana wao.

Imepita mwaka sasa tokea ili swala limetokea nilipokua chuo naombeni ushauri wenu kutokana na experience yenu ambayo mmeshapitia.

Ilikua ni jumamosi nimetoka kanisani nilikua nimelala hostel nikijiandaa kurudi mafundisho ya jioni (Mimi ni msabato), rafiki yangu tunaesoma nae alikuja kuniamsha nimsindikize sehemu flani kwenye maombi ya mchungaji flani (sitamtaja), nilimbishia nikamwambia Mimi sijawai kuhudhuria sehemu yoyote ya maombezi (kutokana na imani yangu). So alinambia nimsindikize tu, nilimwambia Mimi sitahusika na hayo maombezi yao Mimi nikifika nakaa nje, akasema sawa, kwakua alikua ni mshikaji wangu nikaona aina noma Mimi kumpeleka huko.

Kufika huko kanisani tukakaa nyuma nikiendelea kushuhudia nyimbo za mapambio. Kilichonishtusha ni wale wa Mama waliokua wanaongoza mapambio wamevaa suruari zimebana wana "brichi" kichwani (kwa muonekano ni wamama wasiokua na njaa ni wanene na wameng'aa), nikajisemea kimoyo moyo Mungu yupo hapa kweli?

Nikiwa kwenye mawazo mchungaji akatoka kwenye chumba alichokuepo (ofsini ) akaanza kupoint watu means akikushika lazima uende mbele, alifika mpaka tulipokua tumekaa nyuma kabisa akamgusa mshikaji na Mimi akanigusa (ni lazima uende mbele) Baadae ndio nika notice kwamba wageni woote ilikua lazima uende mbele.

Nikaanza kumlaumu jamaa kwanini kanileta huku kwani kuombewa ni lazima?. Mda huo jamaa yangu anatetemeka akanambia Leo tunadondoka mbele za watu aibu ilioje? Nilitamani niondoke nikaona nikiondoka naweza ambiwa nina pepo la kiburi so nikaamua nikaze tu, kufika pale mbele tukaambiwa tuvue viatu hatuwezi kwenda madhabahuni na viatu.

Kwanini nawaomba nyie ushauri?......

Kufika mbele Mchungaji akaanza kuomba (tulikua tumepanga mstarii ) so kila anaeguswa na yule Mchungaji alikua anadondoka huku anapiga yoweee...nikajisemea moyoni daah Leo nimepatikana nitadondokaje mbele ya watu aibu ilioje? Nikiomba namba za binti yoyote aliepo mule atanipa kweli? Fedhea gani hiii? .....nikaanza kujilaumu kwanini nisingerudi kanisani kwenye mafundisho..


Ilifika zamu ya rafiki yangu then huyo mchungaji akaanza kusema "wewe kuna mwanamke umempa mimba na unaikataa?" Yule mwenzangu akajibu ndio (Nilikua najua hiyo issue nikawa najisemea Leo Mchungaji atasema siri zangu zote). Mchungaji akaendelea kumuombea huyo rafiki yangu akagoma kudondoka then akanifikia Mimi.

Akaniuliza maswali jina langu nani n.k then akaniuliza ilo jina ni la ukoo au nimepewa? Nikamwambia ni langu la kizungu tu nimepewa. Niliona YouTube yule mchungaji wa Kenya alivyoumbuliwa na aliekua Mwandishi wa KTN Mohammed Ally ambae sasa ni Mp. So Nilikua makini kujibu swali endapo ningesema ni la ukoo angeanza kunambia Mizimu ya ukoo inanifatilia.

Akanambia nasomea nini Chuo? Nikamwambia Bsc in Education (physics)...akanambia naona ulikua unataka kua engineer lakini kuna vitu vimeekufanya umeenda mbali na lengo lako, binafsi nimesoma PCB so wazo la Kua engineer sikua nalo.

Then akanambia nyumbani kwenu kuna utajiri lakini watu wanafanya chokochoko kuwarudisha nyuma. Mzee wangu ni mtu wa dini sana lakini pia uwezo wa kufanya mambo yake ya maendeleo anao, so nikawa najiuliza huyu pastor anazungumzia utajiri gani?...

Mwisho akanambia anavyoona yeye maana ni nabii kwamba nikisomea mambo ya computer nitafanikiwa sana. Alivyoongea hivyo nikawa attention, nilichaguliwa multiple selection nilichanguliwa Computer and software engeneering lakini sikwenda pamoj na Bsc in education, binafsi nimesoma Education tu lakini ni swala ambalo halipo kabisa moyoni mwangu imenifanya nimalize Chuo na GPA ya kawaida maana sikuwai kupenda hata kwenda darasani.

Baada ya hapo aliniombea nikagoma kudondoka akaamua kuniacha tu kwenye kundi ilo kubwaa hatukudondoka Mimi na mwenzangu tu.

SWALI.

Je katika maisha tunayoishi kuna watu wanapitia msoto mkali kwa sababu wamesomea au wanafanya mambo yasiyokua kwenye fani yao au hatma yao? Future au Fate ya mtu tokea anapozaliwa imeandaliwa? Kwamba utapita hapa then uende pengine au ufanye hichi ili ufanikiwe?
Je maisha ni bahati au kupambana? Au ni lazima nikasomee computer kama alivyosema huyo nabii ndio nifanikiwe?....

Nilishakutana na mtu na yeye anasali sana haya makanisa ya kiroho akasema ananiona mimi mbelenii ni mtu mkubwa sana nikabakia kumcheka.. binafsi sina ninachomiliki lakini moyoni mwangu nina spirit kuubwa sana ya kufika mbali nimekua na imagination nyiingi sana kuhusu mafanikio.

ASANTENI.
Ndugu,
Nakuandikia barua hii uisome katika Jina la Bwana Wetu Yesu Kristo.

Kwanza alichokuwa anafanya huyo nabii feki wa kujiita mwenyewe ni utapeli. Hapo Mungu hakuwepo ni nguvu za giza tuuu. Yeremia 50.6 "Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea, wachungaji wao wamewapoteza;....... Kwahiyo kuwa makini sana na watu hawa matapeli.

Pili, fuata kile kilichopo moyoni mwako hapo ndipo ilipo njia ya mafanikio yako. Mtangulize Mungu utafanikiwa. Nani alikuambia elimu ni mpaka uwe na cheti cha digriii au phd. Kuna wakulima wakubwa na wafanyabiashara wameajiri hao digrii na phd holders ili wawasaidie kutimiza ndoto zao. Sasa iweje wewe useme ni mpaka usomee kitu fulani?
 
Ndugu,
Nakuandikia barua hii uisome katika Jina la Bwana Wetu Yesu Kristo.

Kwanza alichokuwa anafanya huyo nabii feki wa kujiita mwenyewe ni utapeli. Hapo Mungu hakuwepo ni nguvu za giza tuuu. Yeremia 50.6 "Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea, wachungaji wao wamewapoteza;....... Kwahiyo kuwa makini sana na watu hawa matapeli.

Pili, fuata kile kilichopo moyoni mwako hapo ndipo ilipo njia ya mafanikio yako. Mtangulize Mungu utafanikiwa. Nani alikuambia elimu ni mpaka uwe na cheti cha digriii au phd. Kuna wakulima wakubwa na wafanyabiashara wameajiri hao digrii na phd holders ili wawasaidie kutimiza ndoto zao. Sasa iweje wewe useme ni mpaka usomee kitu fulani?
Asante mkuu, imepita mda mrefu tokea ilo swala limetokea Jana ndio nimekaa nikakumbuka, nakumbuka pia kwenye biblia hata sauli alionyeshwa na mganga taswira ya samweli (ambae alikua ameshafariki)...sina huo mda wa kwenda kubadilisha fani mkuu lakini maneno yake ndio yalikua yananifikirisha mpka nikauliza maswali hapo juu.

Asante pia kwa ushauri.
 
Wasabato walivyo strong kwenye Neno sikutegemea jambo Kama hili lingekuhangaisha.


Maisha bwana hayana njia ya moja kwa moja.
Kwamba namna hii ukifanya lazima ufanikiwe! Laa!
Njia za kufanikiwa zipo nyingi sana, lakini kila njia ina wajibu ndani yake.

Hakuna kufanikiwa kokote kusiko husisha wajibu.

Unaweza ukawa una bahati katika maisha lakini ukakosa bidii, hapo kufanikiwa hakutakuwa pafect.

Unaweza kuwa na bidii lakini hauna bahati, napo mafanikio lazima yawe negative.

Lakini pia unaweza kua na bahati na bidii lakini akili ikawa haipo hapo napo mafanikio yatasua sua.

Kwa hio mafanikio lazima ya husishe akili, bidii, bahati nk.

Lakini yote haya nje ya Mungu hayapatikani.

Hayo yakusema kuombewa, kutabiriwa au maono ya wachungaji, katika hali ya kawaida nikupotezeana muda tu nakulemaza akili.
Navyowajua Wasabato wana msimamo kuhusu mafundisho ya dhehebu lao. Jamaa asipoteze muda na mambo hayo. Utazunguka mabucha lakini nyama ni ile Ile.
 
Habari.

JF imekua ni mwalimu wangu tokea nimeanza kuijua, naelewa humu ndani kuna watu wamepitia mengi sana watanipa ushauri ambao utanijenga Mimi kijana wao.

Imepita mwaka sasa tokea ili swala limetokea nilipokua chuo naombeni ushauri wenu kutokana na experience yenu ambayo mmeshapitia.

Ilikua ni jumamosi nimetoka kanisani nilikua nimelala hostel nikijiandaa kurudi mafundisho ya jioni (Mimi ni msabato), rafiki yangu tunaesoma nae alikuja kuniamsha nimsindikize sehemu flani kwenye maombi ya mchungaji flani (sitamtaja), nilimbishia nikamwambia Mimi sijawai kuhudhuria sehemu yoyote ya maombezi (kutokana na imani yangu). So alinambia nimsindikize tu, nilimwambia Mimi sitahusika na hayo maombezi yao Mimi nikifika nakaa nje, akasema sawa, kwakua alikua ni mshikaji wangu nikaona aina noma Mimi kumpeleka huko.

Kufika huko kanisani tukakaa nyuma nikiendelea kushuhudia nyimbo za mapambio. Kilichonishtusha ni wale wa Mama waliokua wanaongoza mapambio wamevaa suruari zimebana wana "brichi" kichwani (kwa muonekano ni wamama wasiokua na njaa ni wanene na wameng'aa), nikajisemea kimoyo moyo Mungu yupo hapa kweli?

Nikiwa kwenye mawazo mchungaji akatoka kwenye chumba alichokuepo (ofsini ) akaanza kupoint watu means akikushika lazima uende mbele, alifika mpaka tulipokua tumekaa nyuma kabisa akamgusa mshikaji na Mimi akanigusa (ni lazima uende mbele) Baadae ndio nika notice kwamba wageni woote ilikua lazima uende mbele.

Nikaanza kumlaumu jamaa kwanini kanileta huku kwani kuombewa ni lazima?. Mda huo jamaa yangu anatetemeka akanambia Leo tunadondoka mbele za watu aibu ilioje? Nilitamani niondoke nikaona nikiondoka naweza ambiwa nina pepo la kiburi so nikaamua nikaze tu, kufika pale mbele tukaambiwa tuvue viatu hatuwezi kwenda madhabahuni na viatu.

Kwanini nawaomba nyie ushauri?......

Kufika mbele Mchungaji akaanza kuomba (tulikua tumepanga mstarii ) so kila anaeguswa na yule Mchungaji alikua anadondoka huku anapiga yoweee...nikajisemea moyoni daah Leo nimepatikana nitadondokaje mbele ya watu aibu ilioje? Nikiomba namba za binti yoyote aliepo mule atanipa kweli? Fedhea gani hiii? .....nikaanza kujilaumu kwanini nisingerudi kanisani kwenye mafundisho..


Ilifika zamu ya rafiki yangu then huyo mchungaji akaanza kusema "wewe kuna mwanamke umempa mimba na unaikataa?" Yule mwenzangu akajibu ndio (Nilikua najua hiyo issue nikawa najisemea Leo Mchungaji atasema siri zangu zote). Mchungaji akaendelea kumuombea huyo rafiki yangu akagoma kudondoka then akanifikia Mimi.

Akaniuliza maswali jina langu nani n.k then akaniuliza ilo jina ni la ukoo au nimepewa? Nikamwambia ni langu la kizungu tu nimepewa. Niliona YouTube yule mchungaji wa Kenya alivyoumbuliwa na aliekua Mwandishi wa KTN Mohammed Ally ambae sasa ni Mp. So Nilikua makini kujibu swali endapo ningesema ni la ukoo angeanza kunambia Mizimu ya ukoo inanifatilia.

Akanambia nasomea nini Chuo? Nikamwambia Bsc in Education (physics)...akanambia naona ulikua unataka kua engineer lakini kuna vitu vimeekufanya umeenda mbali na lengo lako, binafsi nimesoma PCB so wazo la Kua engineer sikua nalo.

Then akanambia nyumbani kwenu kuna utajiri lakini watu wanafanya chokochoko kuwarudisha nyuma. Mzee wangu ni mtu wa dini sana lakini pia uwezo wa kufanya mambo yake ya maendeleo anao, so nikawa najiuliza huyu pastor anazungumzia utajiri gani?...

Mwisho akanambia anavyoona yeye maana ni nabii kwamba nikisomea mambo ya computer nitafanikiwa sana. Alivyoongea hivyo nikawa attention, nilichaguliwa multiple selection nilichanguliwa Computer and software engeneering lakini sikwenda pamoj na Bsc in education, binafsi nimesoma Education tu lakini ni swala ambalo halipo kabisa moyoni mwangu imenifanya nimalize Chuo na GPA ya kawaida maana sikuwai kupenda hata kwenda darasani.

Baada ya hapo aliniombea nikagoma kudondoka akaamua kuniacha tu kwenye kundi ilo kubwaa hatukudondoka Mimi na mwenzangu tu.

SWALI.

Je katika maisha tunayoishi kuna watu wanapitia msoto mkali kwa sababu wamesomea au wanafanya mambo yasiyokua kwenye fani yao au hatma yao? Future au Fate ya mtu tokea anapozaliwa imeandaliwa? Kwamba utapita hapa then uende pengine au ufanye hichi ili ufanikiwe?
Je maisha ni bahati au kupambana? Au ni lazima nikasomee computer kama alivyosema huyo nabii ndio nifanikiwe?....

Nilishakutana na mtu na yeye anasali sana haya makanisa ya kiroho akasema ananiona mimi mbelenii ni mtu mkubwa sana nikabakia kumcheka.. binafsi sina ninachomiliki lakini moyoni mwangu nina spirit kuubwa sana ya kufika mbali nimekua na imagination nyiingi sana kuhusu mafanikio.

ASANTENI.
Mkuu kusoma kitu usipochokipenda kina effect kubwa sana. Mimi nilisoma uchumi ila sikuwahi kupenda uchumi nilisoma tu kwasababu mzee wangu yeye ni Dr wa Uchumi na mimi alitaka nifuate nyayo zake ila mimi nilikuwa napenda kitu kingne kabisa. Chuo nilimaliza ila sikuwa na GPA nzuri maana nilikuwa mtoro sana nilikuwa bsy na mambo mengine niliyokuwa napenda.
hayo ya kuwa utakuja kuwa mtu mkubwa mbeleni ni maneno ambayo watu wengi wanaambiwa kila siku. Juhudi zako ndizo zitakufikisha huko wala siyo maneno ya mchungaji. Kila mtu akitia juhudi katika utafutaji atakuwa mtu mkubwa mbele. Huoni Babu tale kutoka kuwa mhitimu wa darasa la saba asiye na kitu mpaka sasa ni MP. Ni juhudi
 
Mkuu kusoma kitu usipochokipenda kina effect kubwa sana. Mimi nilisoma uchumi ila sikuwahi kupenda uchumi nilisoma tu kwasababu mzee wangu yeye ni Dr wa Uchumi na mimi alitaka nifuate nyayo zake ila mimi nilikuwa napenda kitu kingne kabisa. Chuo nilimaliza ila sikuwa na GPA nzuri maana nilikuwa mtoro sana nilikuwa bsy na mambo mengine niliyokuwa napenda.
hayo ya kuwa utakuja kuwa mtu mkubwa mbeleni ni maneno ambayo watu wengi wanaambiwa kila siku. Juhudi zako ndizo zitakufikisha huko wala siyo maneno ya mchungaji. Kila mtu akitia juhudi katika utafutaji atakuwa mtu mkubwa mbele. Huoni Babu tale kutoka kuwa mhitimu wa darasa la saba asiye na kitu mpaka sasa ni MP. Ni juhudi
Asante mkuu, umesema ukweli kabisa mimi sijawai kupenda ualimu ila nimeenda tu, ili jambo linanifanya niwe down hata kutafuta mahali au sehemu ya kujishikiza, nawaona wenzangu wakiangaika na bahasha kila shule lakini Mimi sipo huko kabisa. Naamini katika juhudi saana pia na spirit ya kufanikiwa, upande wa pili nauona ila nimekosa daraja la ku link tokea sehemu niliyopo na kunifikisha huko. Nipo kwenye familia ambayo mentality ya wazazi wangu wanaamini nikae nisubiri ajira japo wenyewe ni wafanya biashara lakini naamini nitafika tu.

Asante.
 
Wachungaji wa aina hiyo hutumia ujanja wa wagaga wa kienyeji,hutumia njia ya kukudadisi maswali ili kuwapa miongozo ya kukutabiria usipojibu maswali vyema anapotea ila ukijibu anabahatisha kama alivyofanya kwako ulipo kubali kuwa ulisoma sayansi akakutabilia ulikuwa na niya ya kusoma uinjinia japo alikosea

Ninavyo fahamu kuhusu maendeleo ni bidii na maarifa na kumtanguliza Mungu kwanza

Anza na ulicho nacho kifanye kwa bidii na maarifa kinaweza kuwa ngazi ya kufikia ndoto zako

Mwalimu wa sayansi usisubiri kuajiriwa jiajiri mwenyewe,unaweza anza kwa kufundisha kwa kujitolea hata shule ya kata ukifundisha vizuri wanafunzi wakakukubali wavute pembeni anzisha tution utaanza kupata pesa na kwa njia hiyo kunawatu wanamiliki shule zao
 
Wachungaji wa aina hiyo hutumia ujanja wa wagaga wa kienyeji,hutumia njia ya kukudadisi maswali ili kuwapa miongozo ya kukutabiria usipojibu maswali vyema anapotea ila ukijibu anabahatisha kama alivyofanya kwako ulipo kubali kuwa ulisoma sayansi akakutabilia ulikuwa na niya ya kusoma uinjinia japo alikosea

Ninavyo fahamu kuhusu maendeleo ni bidii na maarifa na kumtanguliza Mungu kwanza

Anza na ulicho nacho kifanye kwa bidii na maarifa kinaweza kuwa ngazi ya kufikia ndoto zako

Mwalimu wa sayansi usisubiri kuajiriwa jiajiri mwenyewe,unaweza anza kwa kufundisha kwa kujitolea hata shule ya kata ukifundisha vizuri wanafunzi wakakukubali wavute pembeni anzisha tution utaanza kupata pesa na kwa njia hiyo kunawatu wanamiliki shule zao
Asante mkuu lakini kujitolea nadhani nitachelewa kufika napotaka kwenda, kujitolea kwa Tanzania hapa ni safari ndefu ya kuwanufaisha wamiliki.
 
..nikajisemea moyoni daah Leo nimepatikana nitadondokaje mbele ya watu aibu ilioje? Nikiomba namba za binti yoyote aliepo mule atanipa kweli? Fedhea gani hiii? .....nikaanza kujilaumu kwanini nisingerudi kanisani.
 
Habari.

JF imekua ni mwalimu wangu tokea nimeanza kuijua, naelewa humu ndani kuna watu wamepitia mengi sana watanipa ushauri ambao utanijenga Mimi kijana wao.

Imepita mwaka sasa tokea ili swala limetokea nilipokua chuo naombeni ushauri wenu kutokana na experience yenu ambayo mmeshapitia.

Ilikua ni jumamosi nimetoka kanisani nilikua nimelala hostel nikijiandaa kurudi mafundisho ya jioni (Mimi ni msabato), rafiki yangu tunaesoma nae alikuja kuniamsha nimsindikize sehemu flani kwenye maombi ya mchungaji flani (sitamtaja), nilimbishia nikamwambia Mimi sijawai kuhudhuria sehemu yoyote ya maombezi (kutokana na imani yangu). So alinambia nimsindikize tu, nilimwambia Mimi sitahusika na hayo maombezi yao Mimi nikifika nakaa nje, akasema sawa, kwakua alikua ni mshikaji wangu nikaona aina noma Mimi kumpeleka huko.

Kufika huko kanisani tukakaa nyuma nikiendelea kushuhudia nyimbo za mapambio. Kilichonishtusha ni wale wa Mama waliokua wanaongoza mapambio wamevaa suruari zimebana wana "brichi" kichwani (kwa muonekano ni wamama wasiokua na njaa ni wanene na wameng'aa), nikajisemea kimoyo moyo Mungu yupo hapa kweli?

Nikiwa kwenye mawazo mchungaji akatoka kwenye chumba alichokuepo (ofsini ) akaanza kupoint watu means akikushika lazima uende mbele, alifika mpaka tulipokua tumekaa nyuma kabisa akamgusa mshikaji na Mimi akanigusa (ni lazima uende mbele) Baadae ndio nika notice kwamba wageni woote ilikua lazima uende mbele.

Nikaanza kumlaumu jamaa kwanini kanileta huku kwani kuombewa ni lazima?. Mda huo jamaa yangu anatetemeka akanambia Leo tunadondoka mbele za watu aibu ilioje? Nilitamani niondoke nikaona nikiondoka naweza ambiwa nina pepo la kiburi so nikaamua nikaze tu, kufika pale mbele tukaambiwa tuvue viatu hatuwezi kwenda madhabahuni na viatu.

Kwanini nawaomba nyie ushauri?......

Kufika mbele Mchungaji akaanza kuomba (tulikua tumepanga mstarii ) so kila anaeguswa na yule Mchungaji alikua anadondoka huku anapiga yoweee...nikajisemea moyoni daah Leo nimepatikana nitadondokaje mbele ya watu aibu ilioje? Nikiomba namba za binti yoyote aliepo mule atanipa kweli? Fedhea gani hiii? .....nikaanza kujilaumu kwanini nisingerudi kanisani kwenye mafundisho..


Ilifika zamu ya rafiki yangu then huyo mchungaji akaanza kusema "wewe kuna mwanamke umempa mimba na unaikataa?" Yule mwenzangu akajibu ndio (Nilikua najua hiyo issue nikawa najisemea Leo Mchungaji atasema siri zangu zote). Mchungaji akaendelea kumuombea huyo rafiki yangu akagoma kudondoka then akanifikia Mimi.

Akaniuliza maswali jina langu nani n.k then akaniuliza ilo jina ni la ukoo au nimepewa? Nikamwambia ni langu la kizungu tu nimepewa. Niliona YouTube yule mchungaji wa Kenya alivyoumbuliwa na aliekua Mwandishi wa KTN Mohammed Ally ambae sasa ni Mp. So Nilikua makini kujibu swali endapo ningesema ni la ukoo angeanza kunambia Mizimu ya ukoo inanifatilia.

Akanambia nasomea nini Chuo? Nikamwambia Bsc in Education (physics)...akanambia naona ulikua unataka kua engineer lakini kuna vitu vimeekufanya umeenda mbali na lengo lako, binafsi nimesoma PCB so wazo la Kua engineer sikua nalo.

Then akanambia nyumbani kwenu kuna utajiri lakini watu wanafanya chokochoko kuwarudisha nyuma. Mzee wangu ni mtu wa dini sana lakini pia uwezo wa kufanya mambo yake ya maendeleo anao, so nikawa najiuliza huyu pastor anazungumzia utajiri gani?...

Mwisho akanambia anavyoona yeye maana ni nabii kwamba nikisomea mambo ya computer nitafanikiwa sana. Alivyoongea hivyo nikawa attention, nilichaguliwa multiple selection nilichanguliwa Computer and software engeneering lakini sikwenda pamoj na Bsc in education, binafsi nimesoma Education tu lakini ni swala ambalo halipo kabisa moyoni mwangu imenifanya nimalize Chuo na GPA ya kawaida maana sikuwai kupenda hata kwenda darasani.

Baada ya hapo aliniombea nikagoma kudondoka akaamua kuniacha tu kwenye kundi ilo kubwaa hatukudondoka Mimi na mwenzangu tu.

SWALI.

Je katika maisha tunayoishi kuna watu wanapitia msoto mkali kwa sababu wamesomea au wanafanya mambo yasiyokua kwenye fani yao au hatma yao? Future au Fate ya mtu tokea anapozaliwa imeandaliwa? Kwamba utapita hapa then uende pengine au ufanye hichi ili ufanikiwe?
Je maisha ni bahati au kupambana? Au ni lazima nikasomee computer kama alivyosema huyo nabii ndio nifanikiwe?....

Nilishakutana na mtu na yeye anasali sana haya makanisa ya kiroho akasema ananiona mimi mbelenii ni mtu mkubwa sana nikabakia kumcheka.. binafsi sina ninachomiliki lakini moyoni mwangu nina spirit kuubwa sana ya kufika mbali nimekua na imagination nyiingi sana kuhusu mafanikio.

ASANTENI.
Jifunze kujiona mkubwa wewe mwenyewe, jifunze kujinenea mema. Jifunze kujiombea.
Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.
Proverbs 23:7
Proverbs 23:7
[7]For as he thinks in his heart, so is he. As one who reckons, he says to you, eat and drink, yet his heart is not with you [but is grudging the cost].
 
..nikajisemea moyoni daah Leo nimepatikana nitadondokaje mbele ya watu aibu ilioje? Nikiomba namba za binti yoyote aliepo mule atanipa kweli? Fedhea gani hiii? .....nikaanza kujilaumu kwanini nisingerudi kanisani.
Ujana tu kiongozi. Pia nimeandika kuchomekea tu
 
Jifunze kujiona mkubwa wewe mwenyewe, jifunze kujinenea mema. Jifunze kujiombea.
Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.
Proverbs 23:7
Proverbs 23:7
[7]For as he thinks in his heart, so is he. As one who reckons, he says to you, eat and drink, yet his heart is not with you [but is grudging the cost].
shukrani mkuu.
 
Back
Top Bottom