Niliwahi kutibiwa na Dr. Mboneko hapa kwa kairuki sijui bado yupo? maana ni kitambo sana
maelezo yako hajitoshelezi sana, ila inabd umwone daktari mtaalamu wa ngozi DERMATOLOGIST, kwa Dar sehemu rahisi itakuwa Muhimbili, au Regency kama utamudu. Kama utaihitaji majina ya hao DERMATOLOGIST in Dar sema.
Mkuu Nyasigwa kwa tendo la huyu Mkuu.@mataka Mke wake kumuachisha Mtoto wao Maziwa ya mama mimi pia halikunifurahisha itabidi waende hospitali kutibiwa mimi sitoweza kutoa ushauri wowote ule nimekasirika sana kwanini mtoto wa miezi 5 umuachishe maziwa eti kwa sababu Mama yake amepata kazi yaani kazi ni bora kuliko mtoto wako? Ahhh.😡mzizimkavu anajua dawa nyingi mimi zimenisaidia sana ngoja aje akupe darasa
mataka, Kuna specialist wa ngozi anapatikana karibia na Muhimbili hospital. ule mtaa wenye supermarket iliyopo bara bara ya umoja wa mataifa karibia na msikiti wa Tambaza.
kama unatokea faya, unakata kushoto(ile suparmarket inakuwa mkono wa kulia) ni ile kona ambayo madaladala ya muhimbili yanapokatia, mita chache baada ya kona upande wa kushoto utaona bango.
Jina la kriniki yake nimesahau.