Nisaidieni nakonda

Nisaidieni nakonda

Mimi mwenzenu ni mwanachuo wa chuo fulani nachukua fani ya utabibu degree hapa Tanzania, nilitokea kumpenda dada mmoja zaidi ya miaka minne iliyopita na kwa kuwa sikuwahi kuwa na mpenzi hapo kwanza kwa sababu zangu binafsi sikuchelewa kumweleza lililonisibu moyoni.
Yule dada wakati huo wote tukiwa form five alinikatalia kwa madai kwamba yeye anasoma kwanza ndo mambo kama hayo yaje baadaye(tulikuwa shule tofauti wakati huo ila nyumbani wilaya moja). Nilikubaliana naye kwa kumsisitiza kwamba bado ataendelea kuwa moyoni mwangu na sitaweza kumpenda mwingine. Baada tu ya kumaliza form 6 niliendelea kumsumbua kuhusu hilo na akashikilia msimamo wake kwa mba haamini wanaume hivyo nimwache kwanza achukue bachelor yake hayo mambo kwake anaamini yana muda wake tu. Kwa kweli kwa nilivyompenda yule mrembo niliendelea kumsisitizia suala hilo na kujitahidi kuwasiliana naye mara kwa mara kwani tulikuwa mikoa tofauti. Yeye hakufanya vizurikwenye masomo yake hali iliyopelekea abadili mchepuo toka sayansi na kwenda arts kwa mwaka mmoja an alipofanya mtihani alifanya vizuri hivyo kujiunga na chuo kikuu fulani pale mji kasoro bahari.
Nimekuwa nikimsisitizia huyo dada kuhusu mapenzi yangu kwake pamoja na kumsaidia kwa mambo madogomadogo kwa matumaini ipo siku atabadili msimamo wake, ila cha ajabu wajameni ni mpaka leo hii msimamo wake upo vilevile kwa madai kwamba nyumbani ndiye pekee aliyesoma hivyo wanamtegemea sana hataki kuwaangusha kwa kuanza mapenzi kabla hajamaliza na vilevile alishawhi kuwa na jamaa huko akiwa o'level na jamaa akampa kibuti hivyo hawaamini tena wanaume eti anaogopa wanaweza kumfanya akafeli chuo bure halafu akawaangusha nyumbani kwake.
sasa wapenwa huyu dada nimemfia kinoma na sijawahi kuona kama yeye ktk maisha yangu yote, Nimejaribu ku-tune my mind set otherwise but i completely failed. NIFANYEJE??

kazana kuomba mungu na kuweka imani kwa mungu ukiamini kwamba kuna mwanamke ameumbwa kwa jili yupo na mungu atakuletea kama nini yeye huyo dada basi wakati wa mungu ukifika atakubali hoja zako bila matatizo
 
Mpende akupendae. Huyo dada kwa sasa hana mapenzi na wewe. Kuendelea kumng'ang'ania ni kujitesa mwenyewe. Nakushauri uachane nae, tafuta atakaekupenda.
 
Hata mimi nina mashaka na huyu binti, wakati mpo secondary ni kweli muda ulikuwa bado, lakini mpaka chuo bado anakudengulia tu hapo kuna walakini. Angeanza basi japo kuonyesha ushirikiano fulani na kukupa moyo kwamba labda hapo baadaye atakuwa mkeo. Jaribu kumuuliza kama kweli anakupenda asije akaja kukuumiza hapo baadaye.
 
ebu kua na wewe HAKUPENDI WALA HAKUTAKI KABISA yan km vp mpotezee mapema usijitie huzuni kwa ONE DAY YES .....eeh eehhh ma braza m telling u the yrs ur watng for ha iz enaf nw .take ye way take ur way oooooooooooohh thr no lov o waitng tym apo
uyo ana kajamaa kengine ndo anakapenda na anafanya nae maisha we bakia kushika pembe tu kwa iman ipo siku ntanyonya!!
tumia akili yako ya kuzaliwa tenma utumie ile ya darasa la tatu ata usiisumbue ya darasa la 5 utajua..thk thk yhk kwa akili changafu..........HAUPENDWI sor tosay so!!!!!!!!!
jipindishe kunako kona nyngne utampata mwngne ambaye aujawai kui=mwona km yeye!!!!!!!11
ahh ahh kakangu umenchekesha eti....... sijawahi kuona kama yeye ktk maisha yangu yote,...hahaha ana nin uyo? pembe usoni? au ana gia visiginon?ebu achana na utoto bwana b realistc utampata mwngne

pole kaka yangu we r ol watoto watoto bt wewe umezid kidg kwaiyo puppy love yako mmh apana

achana na izo mashairi nyanyuka smama life z too shot uskubali kinyangaruka flani kibane mtiririko wa furaha yako wkt ye uko anakula tu gud tym...uskubali iyo verse iimbike kwako
tafuta mwngne replace oda then life goes on!~!!!!!!!!!!!

U nailed it.
 
Back
Top Bottom