Habari zenu wapendwa wa mmu, ningependa mnipe ushauri kwa kilichonikuta mwenzenu, nina girlfriend wangu ambaye uhusiano we2 una mwezi1 sasa, ashawahi kuniambia kuwa aliachana na ex boy wake kutokana na jamaa kutomjali sasa leo kaja kaniambia kuwa ana mimba ya mshikaji na alijarib kwenda kuitoa ikashindikana na ni ya miez 3 na kamwambia jamaa, jamaa kampotezea na atak hata kumwona sasa kaniambia ili asikie mi nitasemaje, jamani nisaidien nifanyaje?