Nisaidieni nipate shule SCANDINAVIAN COUNTRIES

Nisaidieni nipate shule SCANDINAVIAN COUNTRIES

Lwikunulo

Senior Member
Joined
Jun 1, 2007
Posts
110
Reaction score
35
Wajameni,

Niko desparate sana kupata chuo kinachotoa PhD in Economics & Finance preferrably katika vyuo vya nchi za Scandinavia na USA. Nafahamu inahitaji kutafuta sana kwenye internet, lakini najua mlioko huko na wale mliopitia vyuo huko mtakua na information za kunirahisishia namna ya kupata admission kirahisi. Nahitaji ku-join mwaka huu.

Nategemea msaada wenu....
 
Tafuta thread ya Scholarship au wasiliana na Mexence Melo
 
Tafuta thread ya Scholarship au wasiliana na Mexence Melo

Hii kali kumbe Max hutoa scholarship? Dogo check NUFFIC na Fullbright Scholarships ila uwe na proposal mkononi maana kuna competition sana.

Good lucky
 
Hii kali kumbe Max hutoa scholarship? Dogo check NUFFIC na Fullbright Scholarships ila uwe na proposal mkononi maana kuna competition sana.

Good lucky

Labla sijamuelewa yeye anataka Scholarship? au chuo ili apate admission?, Lukwu hebu fafanua zaidi kuhusu hilo, wewe unataka admission au scholarship, maana naona kama mimi au wengine wamekuelwa ndivyo sivyo.
 
Kupata admission sio noma, kaaazi karo...
 
Sweden elimu ni bure, tatizo living expenses. Na nchi kadhaa za huko ni hivyo hivyo.
 
Kuna dogo mmoja anaitwa Makumilo anablog yake ambayo ukusanya hizo scholarships info(zikiwemo za PhD). Just google jina lake tapata link ya blog yake. He is currently studying in U.S under Fulbright Program.
 
Wajameni,

Niko desparate sana kupata chuo kinachotoa PhD in Economics & Finance preferrably katika vyuo vya nchi za Scandinavia na USA. Nafahamu inahitaji kutafuta sana kwenye internet, lakini najua mlioko huko na wale mliopitia vyuo huko mtakua na information za kunirahisishia namna ya kupata admission kirahisi. Nahitaji ku-join mwaka huu.

Nategemea msaada wenu....

Pitia hapa iBlog (blog ya Subira) utapata info za scholarships katika vyuo mbali mbali duniani. Natumaini itakusadia.
 
Labla sijamuelewa yeye anataka Scholarship? au chuo ili apate admission?, Lukwu hebu fafanua zaidi kuhusu hilo, wewe unataka admission au scholarship, maana naona kama mimi au wengine wamekuelwa ndivyo sivyo.

Kwa ufupi ni kwamba nahitaji msaada wa namna ya kupata admission kwa urahisi na haraka kwani mwajiri wangu ameniruhusu nianze masomo ikiwezekana mwaka huu. Nimechelewa kuanza kutafuta ndio maana naomba msaada ili nisipoteze muda mwingi kutafuta wakati kuna watalaamu kibao wenye useful info hapa.

Najua nchi za Scandinavian vyuo vingi (kama si vyote) hawacharge tuition fees. Kwa USA tuition fee ni kwa kwenda mbele. In short nataka ushauri wa namna ya kupata admission kwani scholarship naweza kutafuta provided nimepata admission.
 
Kama ni PhD inabidi ufanye fasta, kwani most application deadline zilikuwa Dec/Jan. This is for foreign students. Kama tatizo ni admission, just visit respective schools na angalia program zao. Sidhani kama kuna kitu kama admission ya kirahisi for a PhD... Ila Sweden - angalia Goteburg, Stockholm Uni, Uppsala etc
 
Nadhani hamna haraka katika kuomba Ph.D ni process ndefu kidogo.

Mkuu umelenga..

Nilitaka kusema kitu hicho hicho, lakini nikaminya ili nisimkatishe tamaa mdau..labda tutegemee atafanikiwa kupata mwaka hu, ingawa sidhani kama inawezekana.
 
Keep waiting!!!! Et change will come.you have make change by find out solution, of your problem.then u will be proud of ur'self.
 
Keep waiting!!!! Et change will come.you have to make change by find out solution, of your problem.then u will be proud of ur'self.
 
Mzumbe university tunaweza kukusaidia katika hili. Huna haja ya kwenda ng'ambo. Wasiliana na Idara Husika
 
Wakuu,

Nashukuru sana kwa maoni na mawazo yenu ambayo kwa kweli ni very very useful! Nitayafanyia kazi. Ila nime'note' kitu kimoja kwamba ningeomba msaada huu mapema ningefaidika zaidi kwani admission kibao ninazofuatilia deadline imepita. All the same your advice has added value in my endeavor towards securing admission to the program. Kwa mwenye info zaidi pls keep them coming....


Keep waiting!!!! Et change will come.you have make change by find out solution, of your problem.then u will be proud of ur'self.

KAKA MKUBWA, ulitaka kusema nini hapo? ..sijakupata sawia mazee 😕
 
Last edited:
Back
Top Bottom