BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
Natamani niwe na mzuka na katiba mpya ila ari haipo kabisa na ninaona wanaotaka katiba mpya wengi ni wapinzani. Je, hitaji hili ni la kisiasa na si haki kama inavyotangazwa?
Kwanini wanaCCM hawana mzuka na katiba mpya? Kwanini wananchi tusio na vyama hatuna maoni juu ya katiba mpya?
Katiba msingi wake wa kwanza ni mwananchi wa nchi husika bila kujali itikadi yake, je hii ya sasa inamkwamisha vipi mtanzania (awe mpinzani au CCM) kufanya mambo yake na ina tatizo gani hata wapinzani hawaitaki?
Kwanini tusifanyie marekebisho sheria mbovu za nchi, tutunge sheria mpya mpya bila kufanya katiba mpya itakayotugharimu hela nyingi zaidi?
Katiba iliyopo iliundwa na watanzania wote waliokuwepo wakati huo, wote tulikua pamoja, ambao ni wapinzani leo nao walikuwepo kwenye kuunda katiba iliyopo wakiwa pamoja na CCM.
Nisaidieni na sheria kandamizi zilizopo sasa ambazo haziwezi kuondolewa mpaka tuwe na katiba mpya.
Nataka kupata mzuka na katiba mpya wakuu, nipeni elimu.
Kwanini wanaCCM hawana mzuka na katiba mpya? Kwanini wananchi tusio na vyama hatuna maoni juu ya katiba mpya?
Katiba msingi wake wa kwanza ni mwananchi wa nchi husika bila kujali itikadi yake, je hii ya sasa inamkwamisha vipi mtanzania (awe mpinzani au CCM) kufanya mambo yake na ina tatizo gani hata wapinzani hawaitaki?
Kwanini tusifanyie marekebisho sheria mbovu za nchi, tutunge sheria mpya mpya bila kufanya katiba mpya itakayotugharimu hela nyingi zaidi?
Katiba iliyopo iliundwa na watanzania wote waliokuwepo wakati huo, wote tulikua pamoja, ambao ni wapinzani leo nao walikuwepo kwenye kuunda katiba iliyopo wakiwa pamoja na CCM.
Nisaidieni na sheria kandamizi zilizopo sasa ambazo haziwezi kuondolewa mpaka tuwe na katiba mpya.
Nataka kupata mzuka na katiba mpya wakuu, nipeni elimu.